Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
Kulikuwa na G8. Baada ya Russia kuichukua Ukraine, wakamuondoa Russia na kubakia kuwa G7.

Sio kwamba Russia hayupo hapo kwa sababu ya uchumi, Hapana, Ni kwa sababu za kisiasa.

Halafu, hao wanaojiita G7, wameamua kujiita tu hivyo.

Nakuuliza, je German, France, Italy.. wana uchumi mkubwa kuliko China...

Je, kwa Nini China haipo kwenye hiyo G7?
 
Russia uchumi wake haifikii hata uchumi wa Jimbo Moja la Texas huko marekani alafu unategemea uione Kwenye kundi la g7?

Utasubiri sana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Devaluation of (PetroDollar)
Tuache kukariri Russia is Very Giant in Europe.
Kama Russia ni kubwa kiuchumi kuliko Europe what about so called America???
There is no Europe without Russia.
 
Unapewa facts za wadau umekalia kukaza fuvu tu.

Ushaambiwa Russia aliondolewa 2014 due to Diplomatic conflicts.

Uchumi wa China ni karibu x10 ya uchumi wa Italy lakini China haimo.

Acha kukaza fuvu.
sasa km hajaomba unataka wamamshobokee
 
G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
Wewe utakuwa ni mtoto au umekurupuka tu..au hujui mambo yanavyoenda zaidi ya kujitutumua..yaani kweli hujui kuwa Urusi ilitolowe kwenye G7..G8 baada ya kuchukua Crimea??
 
Urusi haina tofauti na mataifa ya kiafrika hata akili yao ya kutawala ni ya kinguvu nguvu(dikteta) kama Afrika.
Ulaya Mashariki kote yale mataifa yaliyokuwa kwenye USSR yapo to barbaric and backward mentally , politically and socially kama mataifa ya Afrika tu.
 
Russia uchumi wake haifikii hata uchumi wa Jimbo Moja la Texas huko marekani alafu unategemea uione Kwenye kundi la g7?

Utasubiri sana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kwanza kigezo cha kuwa G7 sio uchumi mkubwa sababu China na India zina uchumi mkubwa kuliko Ufaransa lakini hazipo G7.
Pili Russia ilikuwepo kwenye G8 ila wakaitoa 2014 baada ya kuichukua Crimea
 
Watu wengine bana sijui huwa ni ukilaza au utoto!!! kabla ya hicho kikundi cha mashoga cha G7 kulikua na G8 russia akiwa member wa G8. Walimuondoa kutokana na mgogoro wa kuichukua crimea kimabavu.. alfu jiulize china ana uchumi mkubwa kuliko hivo vinchi vya magharibi lkn kwann hayupo G7? Jibu ni mambo ya kisiasa na ushoga ushoga wao
Mkuu mbona unapenda sana mambo ya kishoga shoga?
 
Back
Top Bottom