Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 922
- 2,441
Na vipi kuhusu China ambayo ni ya pili kiuchumi Duniani na uchumi wake ni azaidi ya uchumi wa Italy, Canada, Na Uk kwa pamoja... Mbona haipo?Urusi aliingizwa ki'heshima' tu kwa kuwa ana 'nyuklia' vinginevyo wamemsusa [emoji23] [emoji23] [emoji23]