Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Urusi aliingizwa ki'heshima' tu kwa kuwa ana 'nyuklia' vinginevyo wamemsusa
Na vipi kuhusu China ambayo ni ya pili kiuchumi Duniani na uchumi wake ni azaidi ya uchumi wa Italy, Canada, Na Uk kwa pamoja... Mbona haipo?
 
G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
G20 yumo na Waziri wake mambo ya nje yupo bizz anataka kuwakutanisha Putini na Biden ingawa Biden hana interest
 
G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
Jifunze kufatilia mambo! Russia aliondolewa Mwaka 2014 kwasababu za kisiasa za kuichukia Crimea! Ila alikuwa membe wa G8 tangia 1976 bwa shekhee
Screenshot_2022-10-12-14-21-22-64_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
Sa kuwa G7 ndio nini mbona mchina hayupo afu Muingereza ,Mfaransa na Muitaly wa nini wamebaki ni majina tu.
 
USA ni nchi iliyoendelea sana...G7 ni nchi zilizoendelea sana. China, India,Brazil nk ni nchi zinazoendelea....
Unapewa facts za wadau umekalia kukaza fuvu tu.

Ushaambiwa Russia aliondolewa 2014 due to Diplomatic conflicts.

Uchumi wa China ni karibu x10 ya uchumi wa Italy lakini China haimo.

Acha kukaza fuvu.
 
Unapewa facts za wadau umekalia kukaza fuvu tu.

Ushaambiwa Russia aliondolewa 2014 due to Diplomatic conflicts.

Uchumi wa China ni karibu x10 ya uchumi wa Italy lakini China haimo.

Acha kukaza fuvu.
Rudi ukasome tena google......................
Hujui kwanini zinaitwa NCHI ZILIZOENDELEA. Unakomaa tu
 
Back
Top Bottom