Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Hapana ila wote hao waliotajwa hapo juu wamemuacha mbali mrusi.
Hiyo G7 ipo kisiasa zaidi na sio kiuchumi .

Maana hata Urusi ilikuwa mwana chama wa hilo kundi kipindi hicho ilikuwa inaitwa G8 aliondolewa baada ya Urusi kuichukua rasi ya krimea.

Kingine tofautisha nchi yenye uchumi mkubwa na nchi yenye nguvu ya kiviwanda.
Mfano kwenye eneo la mashariki ya kati nchi yenye uchumi mkubwa ni Saudia arabia lakini haina nguvu za kiviwanda.

Hivyo hivyo Iran na Israel zina uchumi wa kawaida lakini zina nguvu za kiviwanda.
 
Russia uchumi wake haifikii hata uchumi wa Jimbo Moja la Texas huko marekani alafu unategemea uione Kwenye kundi la g7?

Utasubiri sana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Wewe ni 'mshamba' wa Historia na mwenendo wa dunia. Hadi 2014 hakuna kitu kilochoitwa G7 bali ilikuwa ni G8. Mrusi alipoichukua Crimea mwaka 2014, aliondolewa, na ndio ikawa G7.
 
G7- ambayo inajumuisha Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani.

Kumbe Urusi haipo kwenye huo mkumbo .
We hushangai China na India hazipo unashangaa kutokuwepo kwa urusi?
 
Back
Top Bottom