Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
kwa muda sasa nimekuwa nawashangaa kwann wanasayansi
watuambie kuna jua moja wakati ukweli kuna jua la afrrika na jua la ulaya.
tofauti yake ni kubwa sana, jua la ulaya wakati wa majira ya baridi
linachomoza magharibi saa 3 asubuhi na kutua saa 8.30 mchana.
kwa hivo jua la ulaya halitoki mashariki na kutua magharibi kama jua la afrika
wakati wa majira ya joto jua la ulaya halitui kabisa kwa hivo hata saa 8 usiku bado jua linakuwa linawaka
kwa wanaokaa kaskazini mwa scandinavia wanajua hili mjiji kama
Tromso Norway na Rovaniemi Finland mji ilio ncha ya artic cricle wanajua hili.Pili jua la Ulaya wakati huu wa spring linawaka sana lakini haliyeyushi hata snow ilioganda linawaka kama mtu kawasha taa yenye mwanga mkali
Hivi mmeshawahi kujiuliza hili? kumbe mwl wangu wa jiografia nae hakujua hili
kwa mlio scandinavia semeni ukweli ili watu waelewe tofauti ya jua la afrika na jua la ulaya na nashangaa kwann wanasayansi hawatuambii juu ya hili
nawasilisha.
hii sio jokes bali ina ukweli mkubwa.
watuambie kuna jua moja wakati ukweli kuna jua la afrrika na jua la ulaya.
tofauti yake ni kubwa sana, jua la ulaya wakati wa majira ya baridi
linachomoza magharibi saa 3 asubuhi na kutua saa 8.30 mchana.
kwa hivo jua la ulaya halitoki mashariki na kutua magharibi kama jua la afrika
wakati wa majira ya joto jua la ulaya halitui kabisa kwa hivo hata saa 8 usiku bado jua linakuwa linawaka
kwa wanaokaa kaskazini mwa scandinavia wanajua hili mjiji kama
Tromso Norway na Rovaniemi Finland mji ilio ncha ya artic cricle wanajua hili.Pili jua la Ulaya wakati huu wa spring linawaka sana lakini haliyeyushi hata snow ilioganda linawaka kama mtu kawasha taa yenye mwanga mkali
Hivi mmeshawahi kujiuliza hili? kumbe mwl wangu wa jiografia nae hakujua hili
kwa mlio scandinavia semeni ukweli ili watu waelewe tofauti ya jua la afrika na jua la ulaya na nashangaa kwann wanasayansi hawatuambii juu ya hili
nawasilisha.
hii sio jokes bali ina ukweli mkubwa.