Kumbe trafic wanafanya vituko vingi barabarani

Kumbe trafic wanafanya vituko vingi barabarani

Dah wanajikubusha gwaride hawa wamelimiss kukaa kutwa nzima barabarani kunaboa sometime
 
Hao wanacheza kufurahia mavuno wanayopata hapo kwa kusimamisha hayo magari.- hii kazi ina pesa nzuri sana - mtaji wote wa serikali wewe zinaingia safi tu hata mshahara unauwona kama pesa ya peremende tu !
 
Mwanzo sikuiona ila now nimeiona kwakutumia laptop

nilikuwa natania ila hata mimi sijaiona mkuu..
_hivi humu jf wangapi wanazo laptops?
_maana toka nimejiunga sijawahi kuingia tofauti na simu hii ya mchina
 
Kumbe hawa trafick wakikaa pamoja barabarani wanakuwa kama watoto enheee. Angalia video hii wanavyofanya mchezo barabarani
[video=youtube_share;YGH6K4KblJk]http://youtu.be/YGH6K4KblJk[/video]
mwaka huu kazi wanayo wasipojirekebisha basi ni sikio la kufa dawa. mkuu ila hiyo avatar yako imeniacha hoi
 
Kumbe hawa trafick wakikaa pamoja barabarani wanakuwa kama watoto enheee. Angalia video hii wanavyofanya mchezo barabarani
[video=youtube_share;YGH6K4KblJk]http://youtu.be/YGH6K4KblJk[/video]

....wewe mbona unafanya mchezo kwenye avatar yako !??..........au umejiunga na Kampuni ya Apple !?:A S 109: Maboso
 
Last edited by a moderator:
Wanafanya maigizo/mafunzo kazini,inasadikiwa mmoja wao sio trafiki bali ni Askari feki ndio anapewa mafunzo na wenzake.


Kumbe hawa trafick wakikaa pamoja barabarani wanakuwa kama watoto enheee. Angalia video hii wanavyofanya mchezo barabarani
[video=youtube_share;YGH6K4KblJk]http://youtu.be/YGH6K4KblJk[/video]
 
Hii inaruhusiwa kutoa uchovu na kuonyesha ukakamavu wao...so nice
 
mtoa Mada acha kuzingua bana.na nyie mnaochangia tu siwaelewi kbsa.hiyo video iko wapi mbona hakuna kitu zaid ya habari.nimetoa macho yote km fundi saa lkn wapi.
 
mi wananikera vile wanasimama katikati ya road ili kukipiga bao. hivi hawaoni ni riski ya kugongwa iwapo gari imefeli break?
 
Back
Top Bottom