Kumbe trafic wanafanya vituko vingi barabarani

Kumbe trafic wanafanya vituko vingi barabarani

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,163
Reaction score
5,765
Kumbe hawa trafick wakikaa pamoja barabarani wanakuwa kama watoto enheee. Angalia video hii wanavyofanya mchezo barabarani
[video=youtube_share;YGH6K4KblJk]http://youtu.be/YGH6K4KblJk[/video]
 
huyo dada ni hatari,afu kajazia balaa atakua ni mchina..
 
Ngoja Mkuu wao aione hii, utasikia wamefukuzwa kazi kwa kufanya masikhara wakati wa kazi na kulidhalilisha jeshi! Na huyu aliyewarekodi lazima atakuwa trafiki police mwenzao kwa jinsi anavyotoa maelezo kwamba ".... mkijiona mtacheka nyie..." Hii ni kutokana na mchezo waliokuwa wakiufanya barabarani wakati wa kazi.
 
Ipo wapi hiyo video!! Mbona haya link hakuna!
 
Wanaifurahia kazi yao hapo...haogopi magari uyo anaetembea katikati ya barabara.
 
Tuwekeako kalink bac nasi tufurahi jaman. Mbona linki ya hiyo video siioni
 
Back
Top Bottom