Kumbe TFS napo patamu

Kumbe TFS napo patamu

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,460
Reaction score
4,166
Mko salama humu?

Kumbe bana kuna taasisi hazivumi ila zina balaa in terms of maslahi.

Kuna dogo ajira mpya nimebahatika kuona mkataba wake kaajiriwa hapo Tanzania forest services,mshahara ni 2.6m.huyu dogo ni abandoned degree tu ya uhasibu hata cpa hana bado.

Kumbe tumekaririshwa tu kuwa mshahara mzuri uko tra,BOT na Tcra lkn kuna vitaasisi vya umma having majina makubwa ila ni balaa.
 
Tatizo watu wamekariri majina ya taasisi. TRA malaki ya watu walijitokeza kufanya usaili ila huwezi kusikia watu wakipanga foleni kuomba ajira ya hizi taasisi.
1. UCSAF
2.WCF
3.TASAC
4.LATRA
5.GBT

Najua hizo taasisi hazina majina makubwa kwenye masikio ya watu ila trust me wana maisha mazuri kuliko hao TRA, TPA, au BOT.
 
Tatizo watu wamekariri majina ya taasisi. TRA malaki ya watu walijitokeza kufanya usaili ila huwezi kusikia watu wakipanga foleni kuomba ajira ya hizi taasisi.
1. UCSAF
2.WCF
3.TASAC
4.LATRA
5.GBT

Najua hizo taasisi hazina majina makubwa kwenye masikio ya watu ila trust me wana maisha mazuri kuliko hao TRA, TPA, au BOT.
Taasis zilizopo chini ya wizara ya maliasili. Sema watu wamefumba macho tu
 
Tatizo watu wamekariri majina ya taasisi. TRA malaki ya watu walijitokeza kufanya usaili ila huwezi kusikia watu wakipanga foleni kuomba ajira ya hizi taasisi.
1. UCSAF
2.WCF
3.TASAC
4.LATRA
5.GBT

Najua hizo taasisi hazina majina makubwa kwenye masikio ya watu ila trust me wana maisha mazuri kuliko hao TRA, TPA, au BOT.
Ongeza na ewura
 
Ongeza na ewura
EWURA inasikika sana ila hiyo miamba mitano juu huwa haitajwi tajwi kivile.

1. EWURA
2. PURA
3. eGA
4. TCAA
5. TANROADS
6. MSD

Hawa atleast huwa wanatajwa tajwa. Ila refer ile list ya kwanza. Wote wapo njema
 
Weka barua yake ya ajira tuone.. ficha taarifa muhimu tu
 
Mimi nizijuazo hazivumi ila wanalipana vizur ni hizi
Gaming board 2.5m
Board ya maziwa 2.5m
Board ya mkonge 2 0m
Kuna mwajiriwa ana two options
1. Kwenda kufanya kazi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya kitengo cha manunuzi
2. Kwenda kufanya kazi wizarani katika kitengo hicho hicho cha manunuzi.
Kwa uzoefu wako ungemshauri achague kwenda wapi kwenye manufaa zaidi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom