Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Nimetonywa na beste yangu anayefanya kazi makao makuu ya benki ya CRDB, kuwa hizi ATM zimeminywa hasa kwa mida zinapotumika kwa wingi ili kuongeza matumizi Sim Banking. Mwny newz zaidi amwage radhi.