Kumbe Tanzania hatuna B52?


tunahitaji ndege itakayobeba makombora sita yasiyozidi uzani wa tani ikapiga kombora moja kigali na kurudi na matano salama ikiwa imekamilisha shughuli, hatuhitaji ndege ya kubeba tani mia ya mabonu kwenda kuwalipua ndugu zetu wa kigali.
Vita inakuwa ya gharama ndogo kwa kutumia vifaa vya gharama kubwa.

Kama lengo la Marekani halingekuwa la kiuchumi vita ya Iraq ingeisha wiki moja kwa dozeni mbili za F 117 zilizokuwa huko. Zilirushwa chache siku ya kwanza na mfumo mzima wa amri na mawasiliano ulikufa.
 
katika ndege zote hatuna B52?

Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?

EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????

Una uhakika Marekani wanauza hizo ndege? Ndege sio kununua ni gharama za kuitunza. nani adui yetu Ulaya tunataka kupigana naye?
 

Achana na cocktail, google B52 Bomber( Stratofortress: subsonic, jet powered strategic bomber,Unit Cost Us$ 53.4 MIlion as of 1998).
Kwa sasa US Air Force wanataka kufanya Improvement ili ianze kutumika mwaka 2020!
 
baada ya F-117 kudondoshwa kule serbia ikawa decomissioned haitengenezwi tena,hiyo ndoo stealthfighter ya mwanzo kabisa.

ni kweli kudondosha ndege moja ya namna hii ni ushindi tosha ila hao ni warusi mkuu, Afrika hamna mwenye uwezo wa kuiona hii kitu, kama una wasi wasi tununue x-36 hata mmarekani mwenyewe akiirusha anashindwa kuiona.
 
B-52 ndege ya kizamani sana,
hamna haja ya kuwa nayo. Kwa kwetu tukipata F - 117, japo teknolojia ya
miaka karibu 20 itatufaa kuingia kwa Kagame mchana kweupe na kuondoka
bila shida.

mkuu f-117 si ndio black hawk ? Mkuu, kununua machine za rockeed maybe hizi f16 babu.

Mleta uzi nawe, soon utasema hatuna ata ac-130, haaah

tanzania airwings tuna MiG 29 nahisi baaasi.
 
Boeing B-52 strattofortress is a long range subsonic jet powered strategic bomber,unit cost up to 50 million usd.capable of carrying up to 32,000 kg of weapons.
 
B 52 aliundiwa mrusi, usiandike vitu kama unakunywa chimpumu, hii marekani hampi mtu.
 

 
Boeing B-52 strattofortress is a long range subsonic jet powered strategic bomber,unit cost up to 50 million usd.capable of carrying up to 32,000 kg of weapons.

ni boeing yenye teknolojia ya kijeshi kama marekani hawauzi tunaweza kwenda kuchagua malaysia, huko zipo zinabebewa abiria.
 
mkuu f-117 si ndio black hawk ? Mkuu, kununua machine za rockeed maybe hizi f16 babu.

Mleta uzi nawe, soon utasema hatuna ata ac-130, haaah

tanzania airwings tuna MiG 29 nahisi baaasi.
hii ni Nighthawk,F-117 single seat ,twin engine ground attack aircraet,cost up to 100 million usd.the first stealth aircraft.
 
ni boeing yenye teknolojia ya kijeshi kama marekani hawauzi tunaweza kwenda kuchagua malaysia, huko zipo zinabebewa abiria.
tatizo ya hii bomber iko very slow in speed,ikipambana na jet fighter supersonic kama sukhoi 27 jetfighter inakua sitting duck.

Ila nasikia huwa inatembea na group la ndege za kuilinda.
Advantage yake inakua na payload kubwa ya mabomu,heavy bomber.
 

Hizo ni zile version za miaka ya 1960's zimestaafishwa kufanya kazi,Marekani ameendelea kuzi upgrades hizi Ndege kwa Versions tofauti tofauti,na B-52 ni moja wapo ya Long Range Heavy Bomber inayotegemewa na Marekani na ndio maana Marekani hajaiuza kabisa kwa Washirika wake hususani U.K,Israel,Australia na hata Canada. So unapozungumzia B-52 hii ni habari nyingine,hata Mrusi ana hii admire.
 

Asante.
 
Produced by Nothrop corpration B-2 spirit is a strategic steathbomber,featuring low observable steath technology designed to penetrate dense anti aircraft defence.it is able to deploy both conventional and nuclear weapons.it has crew of two and can drop up to 80 bombs of kg 230 or 16 nuclear bomb of 1.1 kg each.
It cost up to usd million 737.
 
Hivi hatuna Meli wala Nyambizi hata moja ya kivita mbona sikuziona zikipita uwanja wa taifa jana?
 
Mkuu kwa taarifa yako zile silaha ulizoona jana ni za miaka kumi na ushee iliyopita. Kuna vitu kaka viko sirini vinasubiri jirani alete ya fya fya fye fye fye. Hatungeweza kuonyesha uwezo wetu kamili mbele ya maadui zetu. Tz tumejipanga kivita mkuu.
Mkuu hao wengine ni akina Asumani mambo valu valu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…