Kumbe Sumbawanga pakishamba sana!

bush crazy

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
773
Reaction score
1,087
Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!

Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)

=======




 
Subiria mapovu mkuu kutoka kwa wenye mkoa wao
 
TANZANIA hii hakuna sehemu ya kijanja wala yakifala kote kunafanana tu..
Ni mjinga peke yake anayedhani kuwa Dar ndio kila kitu maeneo kama msasani bonde la mpunga,mwananyamala kisiwani,kinondoni shamba,tandale kwa tumbo,vingunguti spencon,jangwani n.k huwezi kuyaona mikoani
 
Nimekuwepo siku mbili nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu! ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)

Hata Pinda amehama huko. Yupo Dodoma analima zabibu!!!
 
Miji yote ya Tanzania inafanana isipokuwa Dar Es Salaam pekee. Kuna wazungu walisema, Dar is the richest city in Tz, na kweli nimeamini. Hata hizi piki piki za Boxer zipo huku Dar, Mikoani bado wanatumia mchina. Majumba mazuri yamerundikana Dar. Typical modern houses za mikoani ni ndogo ndogo sana. Dar kuna mansions hatare. Magari ya mikoani ni yale tulikuwaga tunaendesha Dar miaka ya tisini. Dar ni ya kipekee sana ukilinganisha na mikoa mingine iliyobaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…