Ha ha ha.. Elli umeanza.. Unajua kiswahili kimepanuka na sentensi yako imekuwa tungo tata.. Fafanua ili ucije kuwaingiza majaribuni wasomaji wa comment yako..
Ha ha ha.. Mpwa Elli hapo utakuwa umesamehewa dhambi zako zote..
Ha ha ha Paloma.. nilikuambia usimdharau shemeji yako.. wembamba wa reli tu huo.. Ananibeba sana mie huyo..
Sikonge hayo ni mazoezi ya kutafuta ile appetite.. Najua huna ujanja wa kupata picha za mipambano yenyewe.. Maana ni balaa.. Paloma asingeamini..Aisee Sosoliso, huyu Shemeji yetu kwa kweli nimemuheshimu maana anaonekana mdogo ila ana uwezo wake.
Mie mwenyewe sidhani kama naweza kunyenyua juu uzito sawa na huo mzigo.
Ila na wewe Sosoliso siyo mbaya kabisa kwa kubeba maana una hadi style za kiajabu ajabu.