Kumbe siku hizi tunakopeshwa!!

Kumbe siku hizi tunakopeshwa!!

ENZI ZA MWENDAZAKE
Hiyo TV station ifungiwe kwa upotoshaji , bwawa tunajenga kwa fedha za ndani. Na ole kwa gazeti lolote litakalotoa picha za kukabidhiwa mkopo huu FONDIPEJI
Ha ha ha just a little laughs...!
jamaa alikuwa na vituko sana.
::Alikuwa anaweza akawa ajapeleka fedha kwa mkandarasi,lakini akifika hapo anakaripia,ooh serekali imeshakupa fedha zote za mradi nabhamjamaliza mradi wananchi hawa wanateseka bule, ulitakiwa ukae kimya usijibu lolote na useme tutautekeleza nankuumaliza ndani ya miezi 6 mheshimiwa,baada ya wiki unaingiziwa hela kiasi unasonhesha....!
#Mitun_chakrabootha
 
Back
Top Bottom