Najua hiyo heading itakuchanganya ila habari ndo hiyo, watani wetu nilifikiri wangeishia kudanganya dunia kuhusu Kilimanjaro na Serengeti tu... sasa wanadai Samunge ipo South Kenya na ni mwendo wa dakika 45 from Nairobi Airport, wageni wengi wanapitia Kenya kwani wameshaambiwa kutoka KIA (Tanzania) hadi Samunge ni 800Km (hapa wameongea ukweli japo hawajasema ni kwenda na kurudi) Mbunge wa Ngorongoro Hon. Kaika Telele amekuwa mbogo serikali kunyamazia tu bila kukanusha habari hizi....
Ninachojiuliza hivi Serikali yetu ipo wapi....?
Source: gazeti la nipashe
Ninachojiuliza hivi Serikali yetu ipo wapi....?
Source: gazeti la nipashe