Ayusema
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 549
- 189
Habari zenu Wana JF...
Nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na dem moja hivi ana kazi nzuri pesa ya kula kwake haisumbui, mwanzoni mapenzi yalikuwa moto moto, anytym nikimhitaji anakuja, hata nikienda kwake kumsalimu nikimwambia twende wote kwangu alikuwa hakatai,tulienda hivo takribani miezi minne,ghafla akachange ukimwambia aje anasema yupo bize na kazi,akawa anakuja akimiss dushelele tu,siku kanipigia simu ananiuliza uko wapi? nikamwambia nipo gheto ghafla kaja halafu siku ya pili nilikuwa na paper nilikausha kimya nipo bize nakula msuli kiana akamind kuwa kwann sijampa dushelele akasepa ndo ikawa kamind nikimuuliza anasema eti yupo bize.
Nikamsema sana kuwa kwa kuwa sina kitu ndo analeta pozi yakamuingia akaanza kuja tena.
Last year mwezi wa tisa akaanza pozi ananipigia simu anaongea vitu ambavyo sivielewi mwisho wa siku akasema mie na yeye basi nikimuuliza why? hasemi sababu.
Ikawa kimya hakuna kuonana kila mmoja na yake,nilikuwa na simu zake mbili Iphone ilikuwa na lock nikamtolea na Androids,akadai iphone yake nikampa hii Androids ikabaki.
Meanwhile sikuwa na kazi ndo nimemaliza chuo tu, sikutaka aninyanyase kwa ajili ya pesa zake nikashika hamsini zangu na kufanya yangu, wadogo zake wakiuliza shemu yuko wapi anawambia kwake hamkujui mfuateni.
Juzi juzi mdogo ake kanambia dada ake ana bwana mwingine anafanya kazi NMB.
Mie nikamwambia ampe hongera,nika test validity nikamtext hivi "Mungu akijaalia mwezi wa nane mwaka huu ntakuwa baba" akajibu "Mungu akukuzie" then fasta akaja hewani sikupokea simu yake akanitxt naomba ile simu yangu nyingine.. nikamwambia ile simu ilikuwa mbovu na wajua hilo haitumiki akasema anaihitaji ni simu ya kazini, bila hiyana wala kinyongo nikampa simu yake..
Najiuliza mambo haya bado yapo mkiachana unadai vyako? je na mie ni dai vyangu? au roho yauma kusikia nimepiga one step ahead?
Nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na dem moja hivi ana kazi nzuri pesa ya kula kwake haisumbui, mwanzoni mapenzi yalikuwa moto moto, anytym nikimhitaji anakuja, hata nikienda kwake kumsalimu nikimwambia twende wote kwangu alikuwa hakatai,tulienda hivo takribani miezi minne,ghafla akachange ukimwambia aje anasema yupo bize na kazi,akawa anakuja akimiss dushelele tu,siku kanipigia simu ananiuliza uko wapi? nikamwambia nipo gheto ghafla kaja halafu siku ya pili nilikuwa na paper nilikausha kimya nipo bize nakula msuli kiana akamind kuwa kwann sijampa dushelele akasepa ndo ikawa kamind nikimuuliza anasema eti yupo bize.
Nikamsema sana kuwa kwa kuwa sina kitu ndo analeta pozi yakamuingia akaanza kuja tena.
Last year mwezi wa tisa akaanza pozi ananipigia simu anaongea vitu ambavyo sivielewi mwisho wa siku akasema mie na yeye basi nikimuuliza why? hasemi sababu.
Ikawa kimya hakuna kuonana kila mmoja na yake,nilikuwa na simu zake mbili Iphone ilikuwa na lock nikamtolea na Androids,akadai iphone yake nikampa hii Androids ikabaki.
Meanwhile sikuwa na kazi ndo nimemaliza chuo tu, sikutaka aninyanyase kwa ajili ya pesa zake nikashika hamsini zangu na kufanya yangu, wadogo zake wakiuliza shemu yuko wapi anawambia kwake hamkujui mfuateni.
Juzi juzi mdogo ake kanambia dada ake ana bwana mwingine anafanya kazi NMB.
Mie nikamwambia ampe hongera,nika test validity nikamtext hivi "Mungu akijaalia mwezi wa nane mwaka huu ntakuwa baba" akajibu "Mungu akukuzie" then fasta akaja hewani sikupokea simu yake akanitxt naomba ile simu yangu nyingine.. nikamwambia ile simu ilikuwa mbovu na wajua hilo haitumiki akasema anaihitaji ni simu ya kazini, bila hiyana wala kinyongo nikampa simu yake..
Najiuliza mambo haya bado yapo mkiachana unadai vyako? je na mie ni dai vyangu? au roho yauma kusikia nimepiga one step ahead?