Kumbe roho inauma.....

Kumbe roho inauma.....

Inavyoonyesha we ndo ulikuwa unamwumiza kichwa mtoto wa watu
 
^^
download (17).jpg
^^
 
Udai vyako vipi tena?? na umesema ulikuwa hauna kitu. ulikuwa umeolewa wewe, sasa shukuru ndoa yako imeisha na wew utafute vyako umringishie. huo ndio uchungu wa kula hela ya wadada

Haaaa haaaa haaa negative perception pole sana bwana @daud omar nahisi hujaelewa......
 
Inavyoonyesha we ndo ulikuwa unamwumiza kichwa mtoto wa watu

haaa haaaa mie naenda race mwenyewe... asa mbona anaumia na kuwa mkali kwa each step ambayo na move??? viol
 
Last edited by a moderator:
Haaaa haaaa haaa negative perception pole sana bwana @daud omar nahisi hujaelewa......

Nimekuelewa mkuu, nachojaribu kukushauri ni kwamba wew msamehe usiadai chochote atakuja kukuaibisha, wew move on na maisha yako, trust me mafanikio yako ndio silaha
 
Nshampa vyote vyake..... je nimdai vyangu???

Kwani nawe ulimpa nini?
Umetaja alivyokupa yeye tu,kama una cha kudai dai!!!
Next time utajifunza kusimama kwa miguu yako!
 
..when it's over, do not turn your back, do not demand anything from her!
all you can do is to cherish the time you spent with her, take all positives and amend where you went wrong...
 
Mkuu umeumia sana huyo bibie kupata njemba mimi nahisi kunyang'anywa vitu ni geresha tu.
 
..when it's over, do not turn your back, do not demand anything from her!
all you can do is to cherish the time you spent with her, take all positives and amend where you went wrong...

Mekusoma mkuu Eli79
 
Last edited by a moderator:
na wote tuseme Amen
..when it's over, do not turn your back, do not demand anything from her!
all you can do is to cherish the time you spent with her, take all positives and amend where you went wrong...
 
Mwanaume wa kweli hadai mwanamke kabisaa achana nae huyo..
 
haaa haaaa mie naenda race mwenyewe... asa mbona anaumia na kuwa mkali kwa each step ambayo na move??? viol

Braza hauja move on wala nini? Ungekuwa umemove usingetishia nyau!
Ulichoonyesha kwenye hiyo relationship ni immaturity.
Rekebisha makosa
 
Last edited by a moderator:
Udai vyako vipi tena?? na umesema ulikuwa hauna kitu. ulikuwa umeolewa wewe, sasa shukuru ndoa yako imeisha na wew utafute vyako umringishie. huo ndio uchungu wa kula hela ya wadada

hahaaaaa nimecheka sana eti alikuwa ameolewaa lol
 
This is your private business. Hayatuhusu kabisa. Kama huna mada ya maana, tulia kimya. Soma michango ya wenzako.
Mwanamakundi, hebu jiulize, hicho cha kudai kakitoa wapi wkt ameeleza alikuwa chuo na kazi hana!! And you are right, it is his business
 
Back
Top Bottom