Kumbe richmond haikuanzia tz au...? Ya fisadi...

Original Pastor

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
1,274
50
msaada wana JF nimesearch maeneo fulani nimeona Hiii attachment sasa sijui ndo ni mmiliki mmoja kwani najiuliza maswali sipati jibu.... kupitia kwenu nitapata jibu please........

""The alleged gang rape of a 15-year-old girl on the campus of Richmond High School in Northern California while 10 or more witnesses, most of them students, looked on has sparked familiar questions: "Why are our kids so messed up?" "Why didn't these students try to stop the crime?" "What's happening in our schools?""
 

Attachments

  • t1larg_astor_cnn.jpg
    t1larg_astor_cnn.jpg
    32.8 KB · Views: 135
Huo ubakaji wa Richmond High School sidhani kama una uhusiano na Kampuni ya Richmond. Hawa ni wanafunzi waliombaka msichana,wakati tafrija ya shule ilipokuwa inaendelea,kwa saa mbili na nusu,ubakaji umetokea. Watu kumi walioshukiwa kumbaka yule msichana wamekamatwa,ingawa wawili au watatu wameachiwa,kwa vile''ushahidi hautoshi kwamba walishiriki.'' Halafu walikuwepo watu kama ishirini ambao walishuhudia,lakini hawakutoa taarifa,au walishangilia,au walichukua picha na cell phone.
 
msaada wana jf nimesearch maeneo fulani nimeona hiii attachment sasa sijui ndo ni mmiliki mmoja kwani najiuliza maswali sipati jibu.... Kupitia kwenu nitapata jibu please........

""the alleged gang rape of a 15-year-old girl on the campus of richmond high school in northern california while 10 or more witnesses, most of them students, looked on has sparked familiar questions: "why are our kids so messed up?" "why didn't these students try to stop the crime?" "what's happening in our schools?""

ndugu yangu mbona unakua kama limbukeni? Mbona kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe?
 
Wande mimi si maanishi habari nafikisha ujumbe tuujadili wewe usiwe kama kichwa cha panzi nauliza hivi Kumbe richmond haikuanzia tz au...? Ya fisadi... kwani sihusiki na habari na copy Richmiond na Richmond ya hapa kwetu Bongo okey sasa umeelewa kama unataka Habari kamili nenda CNN breaking news ok tumia akili sawa??
 
Back
Top Bottom