Aaronium
Senior Member
- Oct 31, 2011
- 129
- 9
Teh teh teh! Kaka umeponda na kuchana kabisa, i've got your feeling, it is a really myth, because hawa wenzetu inapotakiwa ku-share resources za Tanganyika they like it a lot, lakini pamoja na kukataa ku-share zile za kule Zbr, ambazo hata hivy hazina uhakika bado, wakiambiwa kwa mfano sasa hivi kama nchi basi waanze ku-contribute kwenye muungano the always fall to their knees! tunawasubiri kwenye tume ya katiba yetu; ingawa ya kwao kungekuwa vita tungejaribu hata kutoa mawazo kuwasaidia; na madudu yao mnayaona, Watahitajika kuchangia gharama za uendeshaji wa tume kama nchi inayojidai katika muungano, i hope tutawabana hapo and show them the door! my ribs again fella!!!Huu ni muungano wa mazingaombwe, kiini macho.
Hakuna anayeweza kuueleza ukaelezeka, ukafahamika. Ndio sababu wenye Muungano huu wanaishia kusema Muungano wetu ni unique!
Nilipitia chapisho moja linaitwa shirikisho ndani ya shirikisho linapatikana hapa https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/100638-shirikisho-ndani-ya-shirikisho.html
Humo waandishi wanasema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Muungano wa baadhi ya mambo na si muungano kwa baadhi ya mambo.
Kwa dhana hii inamaanisha kuwa Serikali ya Muungano ya Tanzania sio serikali kuu kama vile mfumo wa US au UK. Hapa ndipo jamaa wa mazingaombwe wanapopata hoja ya uniqueness ya Muungano huu wa mazingaombwe, usanii.
Lakini serikali ya Muungano inafanya kazi za serikali ya Tanganyika vilevile kama vile serikali ya UK inavyofanya kazi za serikali ya England.
Kwa kufupisha, Muungano huu ni kama zile hekaya ya nusu mtu,nusu samaki. This Muungano is a myth!
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/123054-je-tanzania-ni-nchi-moja.html