Kumbe rais huwa anaenda marekani kujirusha na wasanii hivi

Ziara zake zinachanganya bana. Mara kaenda kuchange blad, mara sijui kaenda kule kudungwa sindano, mara sijui kaenda kujirusha! Sijui tushike ipi!

Mie nimesha choshwa kabisa na issues za jamaa huyu wa TZ na huyu ama pembeni yake ni Balozi au ni nani mbona naye anashirki mkutano huu =
 

Haiwezi kupiga Safari Ndefu za USA; ni za Africa labda EUROPE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…