Hivi kumbe Rais anasafiri na commercial flight! Ile ndege ya Mramba alomnunulia imefia wapi? au ndo ATCL style? kwa hiyo kwenye Flight anajichanganya na raia wengine kama mwakyembe alivyopanda daladala la tegeta?
Tulikula majani sisi ili mkuu wa nchi anunuliwe Ndege. Au hakuipenda kama vile alivyosumsia ma benzi ya Mkapa akachukua ma BMW? Aseme tu tutamtafutia Airforce One.