ukweli kama ni mchapa kazi bora angekutana na head wa majalala akampa mbinu za kujinasua na uchafu wa majiji
msimlaumu sana mzee huenda ushauri wa mama, by the way prezidaa wetu ni selebbrit waacha akutane na wenzake wabadilishane mawazo
ukweli kama ni mchapa kazi bora angekutana na head wa majalala akampa mbinu za kujinasua na uchafu wa majiji
mi nimejiuliza sana kama walikutana ghafula hivi kati ya Jk Na Beckcham nani alianza kujitabulisha kwa mwenziea. sidhani kama Beckcham anamfahamu Jk hata kwa sura ninavyohisi JK alimfata huyu njemba na kumwambia unanifahamu mimi Hapana . mimi ni raisi wa Tanzania kunapopatikana ule mrima mrefu wa Kilimanjaro na kadhalika na kadhalika
Kwani rais kujitambulisha kitu kibaya?
Ziara za muheshimiwa rais kumbe ndo huwa zinaishia kwa kukutana na wasanii na wanasoka
View attachment 54114
Kwani rais kujitambulisha kitu kibaya?
He he he he! THE LAST KING OF SCOTLAND!
Hivi inawezekana rais wa Afrika mashariki tu akaja Tanzania then akapata muda wa kukaa na Boban au Nsajigwa wakapiga story?
*** Hapana; Sipendi safari zake lakini hapo wamekutana London, Kikwete on transit na david beckham karudi London kukimbiza Mwenge wa Olympics
Kwahiyo wamekutana kwa bahati hawakupanga kukutana
Hapo tuache fitina kidogo ...
*** Hapana; Sipendi safari zake lakini hapo wamekutana London, Kikwete on transit na david beckham karudi London kukimbiza Mwenge wa Olympics
Kwahiyo wamekutana kwa bahati hawakupanga kukutana
Hapo tuache fitina kidogo ...
Ziara za muheshimiwa rais kumbe ndo huwa zinaishia kwa kukutana na wasanii na wanasoka
View attachment 54114