Kweli siasa ngumu kwa mara ya kwanza Mwakyembe toka uchaguzi mkuu amekaa Kyela wiki nzima akipigia kampeni group yake kwa sera ya sumu..Hizo zilikuwa mbinu za uchaguzi wa ccm leo.Hapa Kyela group la Mwakyembe sera ilikuwa ni sumu,sumu sumu sumu.Ukimuliza umefanya nini ..yeye sumu sumu sumu.