Kumbe polonium 110 ndio chanzo cha mwakyembe na mwandosya

mkuu ni polonium 110 au 210?hebu weka sawa hapo ndio tuanze kujadili.

Ni polonium-210,atomic number-84.hiyo 210 ni mass number.polonium has 33known isotopes,all of which are radioactive atomic masses that range from 188 to 220.polonium-210(half-life 138.376 days) is the most widely available.
 
Nadhani hakuna ukweli hapa. Ni Urusi peke yake ndiyo kwa sasa ina hiyo sumu na handlers wake.

Jiulize: ni Mtanzania gani angeweza kuwawekea hiyo sumu bila kudhurika mwenyewe? Tanzania haina hiyo sumu. Hata Marekani hawana. BBC walitangaza ni Urusi peke yake ndio inao uwezo wa kuwapa watu pollonium powder kwa sasa.

Upuuuzi huu..,
 
Nadhani hakuna ukweli hapa. Ni Urusi peke yake ndiyo kwa sasa ina hiyo sumu na handlers wake.

Jiulize: ni Mtanzania gani angeweza kuwawekea hiyo sumu bila kudhurika mwenyewe? Tanzania haina hiyo sumu. Hata Marekani hawana. BBC walitangaza ni Urusi peke yake ndio inao uwezo wa kuwapa watu pollonium powder kwa sasa.

Common sense is not always common, sorry!
 
I accept correction. Nilichopashwa kusema ni aina ya pollonium iliyomuua Mrusi Uingereza inapatikana Urusi peke yake, na ni mali ya serikali. Ndio ushahidi waliotumia Waingereza kuwalaumu Warusi.

Handling ya hii sumu ni sophisticated kiasi cha kutia wasiwasi kama Tanzania inaweza kuitumia.

Kwa vyovyote vile, kama serikali ya Tanzania ingehusika kuwawekea sumu hawa mawaziri, basi singetegemea waendelee kuweko serikalini. Sidhani kuna ukweli kwenye madai haya.

Ni kweli Tanzania iko back ward, lakini si kama hina uwezo wa kuhandle toxic and radiation material. Sio kombora la nyukilia ni amount ndogo tu iliyokuja na imewekwa kama kitisho kwa wanasiasa wanaojaribu kuwazuia mafisadi. So it os not that sophisticated.
 
Nadhani hakuna ukweli hapa. Ni Urusi peke yake ndiyo kwa sasa ina hiyo sumu na handlers wake.

Jiulize: ni Mtanzania gani angeweza kuwawekea hiyo sumu bila kudhurika mwenyewe? Tanzania haina hiyo sumu. Hata Marekani hawana. BBC walitangaza ni Urusi peke yake ndio inao uwezo wa kuwapa watu pollonium powder kwa sasa.

Yule mdada aliyeweka sumu kwa mh.. Makyembe alikufa immediately tena Mh. akiwa bado India!!! Ndizo habari zilizowafikia inzi!!!!
 
Sorry darkman, mkuu hivi Polonium na Uranium ni ipi mbaya zaidi?? na hivi vyote ni viasilia vya nuclear??
kama ni uranium basi tumekwisha vile kuanzia mwakani tutaichimba hapahapa bongo!

Pollonium na uranium ni radioactive materials ambazo zote ni source of energy

Zinapotumiwa kama sumu ya kugusishwa(acute poisoning) inaenda kuharibu utaratibu wa kawaida wa seli za binadamu kufanya kazi zake..,
 
JF ni kisima cha habari. Yapo mengi mazito basi kuyaanika hapa nchi haikaliki. Cha msingi Siasa ni mchezo mbaya sana na kumalizana ni strategy! Kwa hakika issue ya Richmond ilikuwa ni nyeti sana na yenye hela nyingi involving mafias!!! The king makers!!! Kwa upande wa Mwandosya ni adui mkubwa sana kwa mtu fulani, hawaelewani kabisa hata ukiona wanachekeana ni unafiki!! Mhusika ni mtu wa visasi sana. Hata kupewa idara isiyokuwa maalum ni unafiki tu na kwa ajili ya kuweka mambo sawa mkoa wa mbeya maana kisiasa kule ni hafifu. But ................let us wait and see!!
 
Nadhani hakuna ukweli hapa. Ni Urusi peke yake ndiyo kwa sasa ina hiyo sumu na handlers wake.

Jiulize: ni Mtanzania gani angeweza kuwawekea hiyo sumu bila kudhurika mwenyewe? Tanzania haina hiyo sumu. Hata Marekani hawana. BBC walitangaza ni Urusi peke yake ndio inao uwezo wa kuwapa watu pollonium powder kwa sasa.
Kama ni mfuatiliaji wa habari humu jf, kuna habari zinasema kuwa mzigo ulinunuliwa urusi na ulisindikizwa mpaka hapa TZ na jasusi wa kirusi ambaye alikuja kuwapa vijana mafunzo namna ya kuitumia na namna ya kuihifadhi.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wazee nimepata taarifa kutoka mbeya ambako waheshimiwa walikuwa wanatoa sadaka ya shukrani kwa mungu kutokana na maswahibu yaliyowakuta. Walikwenda na riport za ugonjwa wao uliokuwa unawasumbua ambazo hizo riport ndizo walizoziwasilisha selikalini, Kifupi ni kwamba waliwaonyesha watu wachache sana hizo ripoti ambapo ni viongozi wa kanisa pekee walioona riport hizo na hakuruhusiwa mtu yoyote kuingia kwenye kile chumba. lengo la kuwaonyesha ripoti hizo ilikuwa ili kuwaongezea imani kuwa bila mungu wao wasingeweza kuwa hai. mtoa taarifa ni mzee wa kanisa ambaye anauelewa kidogo kwenye mambo ya sayansi.

Riport inaonyesha kuwa kilichokuwa kinawasumbua ni Radioactive element inayojulikana kama polonium 210, na wao iliingia kupitia kwenye ngozi ndio maana ilienda kuattack cell za ngozi na kuingia kwenye bone-marrow ya mifupa. Laiti kama wangekuwa wamewekewa kwenye chakula wakaila, results would have been much detrimental, maana ingesababisha organs failure.

Vipimo vyote walivyofanyiwa havikuonyesha kitu, sample zao zilichukuliwa na kupelekwa kwenye maabara ya nuclea ya india ndiko jibu lilikopatikana. unaambiwa kwa conventional toxicological test zilizopo katika mahospitali ya kawaida huwezi kugundua kitu chochote. na unaambiwa hata baada ya kugundua kuwa polonium 210 ndiyo inayowatesa, kama wangekuwa walishwa, ingekuwa kazi sana kui-neutralize kwa sababu neutralizing agents nyingi za radioactive elements ni toxic (sumu) katika mwili wa mwanadamu. Walichofanyiwa kina mwakyembe ni bone-marrow implant

Unaambiwa 1microgram ya polonium 210 inatosha kuwaua watu wazima 5, na inaweza kutengeneza umeme wa 140watts. 1microgram ya polonium 210 ni sawasawa na gramu moja gawanya vipande milioni moja (kwa wasiojua vipimo vya metriki)

Ndio maana yule kamanda alielitangazia taifa kwenye vyombo vya habari kuwa mwakyembe hajapewa sumu DCI KANUMBA (weka manumba) katulia kimya na alijifanya kwenda kumuhoji Mhe Sitta. Sitta alipoenda kumuona Mwakyembe India alikuwa anajua kila kitu kuwa kapewa sumu ndio maana alisema hadharani.

USHAURI KWA WANASIASA HASA HASA WALIOJIPAMBANUA KUWA NI WAPAMBANAJI WA UFISADI, Ukiona umenawa maji sehemu na akaanza kuwashwa nunua JIKI nawia sehemu zote unazohisi umejishika kupunguza makali maana unaweza usifike india. Hii polonium 210 ndio iliyomuua yule ex-KGB spy alipokuwa uhamishoni UK, yeye alikunywa kwenye kahawa.
Asante kwa taarifa Mkuu. Edit na heading 210 instead of 110.
 
Kinachonichukiza mimi juu ya hawa mabwana wawili ni kuficha ukweli,tunawaonea huruma watu wasiojijali wenyewe hivyo sichelei kusema hata wao wanaifurahia keki ya ufisadi,vinginevyo wajitambue kwamba walitibiwa kwa kodi zetu hivyo sisi ni wazazh wao...watuambie waliugua nini?
 
[h=1]Diagnosis and treatment of polonium poisoning.[/h]Jefferson RD, Goans RE, Blain PG, Thomas SH.
[h=3]Source[/h]Wolfson Unit of Clinical Pharmacology, Newcastle University, Newcastle, UK [corrected]

[h=3]Erratum in[/h]
  • Clin Toxicol (Phila). 2009 Jul;47(6):608.

[h=3]Abstract[/h][h=4]OBJECTIVES:[/h]Interest in the clinical toxicology of (210)polonium ((210)Po) has been stimulated by the poisoning of Alexander Litvinenko in 2006. This article reviews the clinical features, diagnosis, and treatment of acute radiation syndrome (ARS) resulting from the ingestion of (210)Po. PHYSICAL CHARACTERISTICS: (210)Po is a high-energy alpha-emitter (radioactive half-life 138 days) that presents a radiation hazard only if taken into the body, for example, by ingestion, because of the low range of alpha particles in biological tissues. As a result, external contamination does not cause radiation sickness. TOXICOKINETICS: Ingested (210)Po is concentrated initially in red blood cells and then the liver, kidneys, spleen, bone marrow, gastrointestinal (GI) tract, and gonads. (210)Po is excreted in urine, bile, sweat, and (possibly) breath and is also deposited in hair. After ingestion, unabsorbed (210)Po is present in the faeces. The elimination half-life in man is approximately 30-50 days. In the absence of medical treatment, the fatal oral amount is probably in the order of 10-30 microg.
[h=4]CLINICAL PRESENTATION:[/h]If the absorbed dose is sufficiently large (e.g., >0.7 Gy), (210)Po can cause ARS. This is characterized by a prodromal phase, in which nausea, vomiting, anorexia, lymphopenia, and sometimes diarrhea develop after exposure. Higher radiation doses cause a more rapid onset of symptoms and a more rapid reduction in lymphocyte count. The prodromal phase may be followed by a latent phase during which there is some clinical improvement. Subsequently, the characteristic bone marrow (0.7-10 Gy), GI (8-10 Gy), or cardiovascular/central nervous system syndromes (>20 Gy) develop, with the timing and pattern of features dependent on the systemic dose. The triad of early emesis followed by hair loss and bone marrow failure is typical of ARS. Those patients who do not recover die within weeks to months, whereas in those who survive, full recovery can take many months. INVESTIGATION AND DIAGNOSIS: Serial blood counts are important for assessing the rate of reduction in lymphocyte counts. Chromosome analysis, especially the dicentric count, may establish radiation effects and provides an estimation of dose. The diagnosis of (210)Po poisoning is established by the presence of (210)Po in urine and faeces and the exclusion of other possible causes. In the absence of a history of exposure, diagnosis is very difficult as clinical features are similar to those of much more common conditions, such as GI infections and bone marrow failure caused, for example, by drugs, other toxins, or infections.
[h=4]MANAGEMENT:[/h]Good supportive care is essential and should be directed at controlling symptoms, preventing infections but treating those that do arise, and transfusion of blood and platelets as appropriate. Gastric aspiration or lavage may be useful if performed soon after ingestion. Chelation therapy is also likely to be beneficial, with research in animals suggesting reduced retention in the body and improvements in survival, although increased activity in some radiosensitive organs has also been reported with some chelating agents. Dimercaprol (British Anti-Lewisite) (with penicillamine as an alternative) is currently recommended for (210)Po poisoning, but animal models also indicate efficacy for 2,3,-dimercapto-1-propanesulfonic acid, meso-dimercaptosuccinic acid, or N,N -dihydroxyethylethelene-diamine-N,N -bis-dithiocarbamate.
[h=4]CONCLUSIONS:[/h]Internal contamination with (210)Po can cause ARS, which should be considered in patients presenting initially with unexplained emesis, followed later by bone marrow failure and hair loss.
 
Kwa nini utumie njia ngumu kiasi hiki kujaribu kumuua mwakyembe na mwandosya?wana umuhimu gani kitaifa au kimataifa?wameingilia maslahi ya nani nchini au ulimwenguni?Haya ni maswali muhimu sana kuyajua tunapojadili hoja hii.

ALEXANDER LITVINENKO

huyu alikuwa jasusi mahiri wa kirusi ambaye aliasi taifa lake,inawezakana alifanya hivyo kwa maslahi yake binafsi au kwa kusalitiwa na warusi.
Baada ya kujistiri UK alidhani yuko salama na hivyo aliamua kuwa domokaya kwa kuipinga waziwazi serikali ya kremlin.inawezekana alifanya haya kama sehemu ya mkataba wake na waliomstiri au kwa hasira zake za kusalitiwa na urusi.

Ni kweli isiyopingika kuwa litvinenko alikuwa ni mtu muhimu sana kwa UK na RUSSIA mpaka pale mauti yalipomkuta.ni kweli isiyopingika kuwa Alex alikuwa akiishi UK lakini mikono na masikio yake yaliweza kupenya milango ya kremlin.
HIVYO ALEXANDER LITVINENKO ALIKUWA MTU MUHIMU SANA.

Ukichanganya 'umuhimu' na weledi wa Alex litvinenko kiusalama utagundua ni kwa nini mpango mahsusi uliandaliwa ili kumuondoa duniani.

KWA NINI PO 210 ILITUMIKA KUMUUA LITVINENKO?

Jibu la swali hili litatoka hapo juu kwa kiasi flani.
Ni rahisi,kwanza kabisa alikuwa ni sikio na mikono ya UK ndani ya russia.
Pili ,hakuwa jasusi legelege.
Tatu,ulinzi mkali aliopata kutoka kwa scotlandyard.

Kwa ufupi unahitaji akili na mpango wa hali ya juu,utekelezaji wa mpango huo uwe perfect,kusiwepo na collateral damage na mwisho kabisa kufuta ushahidi.

Hapa ndipo polonium 210 inapoingia.

Kama wadau wengi walivyotangulia kusema Po 210 ni radioactive element ambayo imekuwepo kwa muda mrefu tu na pia inajulikana na kupatikana kirahisi tu.hata maziwa au bidhaa kadhaa za supermarkets zaweza kuwa na kiwango kidogo cha Po 210.
Kwa upande mwingine hii Po 210 inaweza kufanyiwa sayansi na kukusanywa na baadae kuweza kutumika kama silaha kama ilivyomtokea the late Litvinenko.Po was bombarded kwa kiwango kikubwa katika mwili wa jasusi huyu.

Warusi wanaelewa fika walikuwa wanapambana na mtu wa namna gani na ana ulinzi wa namna gani.
Waliamua kutumia Po 210 kwa sababu walijua haiwezi kumuua papo hapo bali ingemletea dalili na kumuua baada ya siku kadhaa ,pia walijua kuwa medical facilities duniani kote kwa wakati ule(2006) hazikutoa kipaumbele kwa Po 210 wakati wa kufanya toxicological analysis(uchunguzi wa sumu mwilini) hivyo ingechukua muda kujua kuwa ni Po 210 ndio iliyokuwa ikimtesa litvinenko.walifanikiwa kwani ilchukua kama siku tatu kugundua kuwa ni Po 210 ndiyo iliyotumika muda ambao ulitosha kumuathiri litvinenko.

Hiki ndio kisa cha kutumika kwa pollonium badala ya common radioactive materials.

KUHUSU MWAKYEMBE NA MWANDOSYA;

swali ninalojiuliza ni kisa kipi walichokifanya mabwana hawa mpaka wakataka kuuliwa ?tena mauaji yao yafanyike kwa kutumia polonium 210?

Pili, kama hawa mabwana wameepuka mpango mahsusi wa mauaji basi wana weledi mkubwa sana wa kijasusi.

KUHUSU TISS KUHUSIKA
je utaalamu wa TISS kutekeleza mauaji ukoje?
Kama kweli Tiss ilitekeleza mpango huu,ilifanya yenyewe au kwa msaada kutoka nje?kwa nini ilicomplicate mpango huu?na kama ni msaada wa nje kwa nini iwe hivyo na kwa maslahi ya nani?

Kama ni mtu binafsi(mfano EL au RA) ,je ana uwezo gani au alifanya haya kwa msaada au maslahi ya nani?

Ni kweli siasa za Tanzania zimefikia huku au kuna mengine nyuma ya pazia?
 
Nadhani hakuna ukweli hapa. Ni Urusi peke yake ndiyo kwa sasa ina hiyo sumu na handlers wake.

Jiulize: ni Mtanzania gani angeweza kuwawekea hiyo sumu bila kudhurika mwenyewe? Tanzania haina hiyo sumu. Hata Marekani hawana. BBC walitangaza ni Urusi peke yake ndio inao uwezo wa kuwapa watu pollonium powder kwa sasa.

kaka,unawajua nini kiliwapata wale wa dada waliotumika kumwekea pale ofisini na pale mlimani city?de levis alisema bora hata yule alietumika ofisini watu wanaweza enda ona kburi lake lake kule ipinda mbeya,ila yule aliyetimka mlimani city mpaka leo hakuna footprints!
 
Back
Top Bottom