King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Diamond Wanamsifia kwamba ana mguu wa mtoto mbona ma demu zake wote wanagongwa nje? Kama hela anayo na gegedo kubwa(kama tetesi zinavyosema) analo iweje atafuniwe? Usikute diomond hawezi shughuli hasimamii kucha vizuri ndio maana anatafuniwa na vigogo wa ikula na CCM,Demu anayekupenda hawezi kukusaliti kwa vipande vya shekeli.