Kumbe Nusrat Hanje bado Yupo CHADEMA

Mnyunguli

JF-Expert Member
Dec 21, 2020
1,795
4,554
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa

Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.

Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.

Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR

Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.
IMG-20240525-WA0010.jpeg
 
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa

Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.

Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.

Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR

Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.View attachment 2998833
Ahamie ccm mara ngapi mkuu?
Tayari yupo ccm kitambo huyo hayo mengine ni maneno ya kuficha aibu tu
 
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa

Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.

Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.

Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR

Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.View attachment 2998833
Wale covid-19 wote ni wanachama hai wa CCM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom