Mnyunguli
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,795
- 4,554
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa
Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.
Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.
Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR
Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.
Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.
Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.
Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR
Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.