Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

Njaa mbaya kaka, huyu siyo Pasco mfikirishaji ni Pasco mbabaishaji. Yaani yeye anawapa Kazi "wapiga filimbi" kufanya Kazi ya uchunguzi. Yaani wewe ni serikali unapewa taarifa ya uhalifu na msamalia mwema halafu unaanza kumlaumu kwa nini asianze yeye upelelezi, kisha akampekua kabisa mtuhumiwa na kumkuta na vielelezo ndo alete TAARIFA.?
 
Mleta mada utampa presha mkuu wa darisalama maana huko koromije kwa majirani itakuwa shida Daudi bashite, Acha tu mleta uzi wakupe cheo utulie hizo facts za kwenda koromije utamuua kwa presha mkuu wa darisalama
 
Mayala naona kwa sasa uandishi wa habari wa kujitegemea haulipi hasa kwa zama hizi. Unataka kutafuta kiki ili wakuajili pale tbccm bila shaka. Suala la vyeti feki halijaanzia kwa makonda na kama sio kweli kwani kuna ubaya gani kuthibitisha hilo kwa kutoa vyeti vyake? Kumshauli akae kimya ni kumpoteza mwenzako maaana hata watu wakiacha kujadili bado imani ya watu kwake na kwa serikali hii inayojigamba kuwa haimuangalii mtu usoni itashuka mno. Kwa sasa umeshajipambanua wazi upo mrengo gani.
 
Kama tatizo ni mafanikio aliyoyapata Makonda basi na wale watuhumiwa wa Madawa ya kulevya tatizo ni mafanikio waliyo nayo ndiyo maana wametajwa na Makonda kwa unafiki wake kwa kuwa wengine wanamafanikio makubwa kumuzidi Makonda.
 
Heshima yako inashuka kama unateremka mlima,ikiwa unataka kuufunga huu mjadala basi wewe mjoo na hzo documents zake ambazo umedai kuwa ni free accesible,kinyume na hivyo basi utakuwa na wewe unamsema makona indirectly kama ulivyo fanya mwanzo,huu ni ni unafiki wa mchana,kama unajijuwa wewe ni mwqandishi nenda deep utuletee findings,halafu uone utakavyo aibika,nadhani amekutuma ukusanye data,lakini mwambie unatakiwa UANIKE HADHARANI VYETI VYAKO.
 
Nilidhani una hoja ya msingi kumbe huna kitu. Utasemaje kwamba habari hii ni uzushi wakati hujaleta evidence ya kuthibisha uzushi wenyewe, sometimes nakuona YES lakini kwa hili uko WRONG brother
Anachofanya Paskal ni kutoa tip jinsi ya kufanya uchunguz someni katikati ya mstari
 
This time I support you kaka Mayalla.Mimi mwanzo mwisho niko upande wa Makonda.Nilifuatilia vizuri hotuba zake.Alisema tutasikia mengi kutokana na kile alichokuwa anakifanya.Makonda chukua ushauri huu wa Paskali.Ushauri safi kabisa.
 
Awe ameghushi hajaghushi yeye ni mkuu wa mkoa, kisa kuwataja kwa madawa, mlisubiri nini muyaseme kabla
 
Back
Top Bottom