Huyo Mzee anainua dini sawa sawa. Anastahili kuitwa mwanazuoni msomi wa PhDWadau leo nilibahatika kumsikia Mzee ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.
1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa
Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.
2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa
Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua
Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
Ah sawa shekhSahihi mkuu nguruwe anaweza kuliwa ikiwa hapo pahala hakuna chakula kingine na wewe njaa imekukamata kweli kweli,unaagiza kitimoto yako unakula kutoa njaa kiasi cha kuweka kuishi unaachana nayo,sio unapiga mpaka unavimbiwaa wakati unakaribia mazingira ya kupata chakula kingine.
Mfano upo sehemu ambayo hakuna chakula na umepata dharura unakaa wiki nzima hapo njaa kali huna nguvu,kapita nguruwe unawinda unakamata unachoma unapiga.
Linapokuja suala la uhai mkuu Mungu sio mjinga kwamba ufe kwa njaa wakati nguruwe aliyemuumba yupo pale ?
Ndio mimi naona kwamba dini ni nyepesi sana yani hapo unaona kwamba nguruwe kakatazwa ikiwa mtu yupo maeneo ambayo kuna vyakula vingine vinapatikana.
Kitimoto Ni nyama nyeupe mkuu...kuhusu mbege tuonane wkend mkuuMzee shirima embu Kula mtori na mbege buaaanaaaaa December si unaiona shekh
Achaneni na Mungu, huyu kiumbe hajawahi kuwepo ulimwenguni. Angaikeni na dunia kuifanya iwe sehemu Bora na salama zaidi kwa kuishi viumbe hai.Achaneni na dini. Angaikeni na Mungu. Dini ni mzigo.
Wadau leo nilibahatika kumsikia Mzee Yusuf ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.
1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa
Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.
2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa
Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua
Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
Ngoja nikuulize swali...Naomba tu nikushauri kuwa ukitaka kuujua Uislam, soma Quran na fuatilia visa vya mitume, usifate watu wanaojiita ni Waislam kama reference ya Elimu ya Uislam kwani kuna kundi kubwa lisilo kuwa na Elimu ya Kiislam pamoja kujiita ni waislamu na kwa bahati mbaya huwezi kuwatofautisha.
Suala la kumchukulia mzee wa Taarabu kuwa ndiye reference ya Uislam, sio sawa kwani tayari ameonesha udhaifu mkubwa wa kutoa mada na mwishowe kuleta mkanganganyiko.
Kuhusu Nguruwe kama ulivyo ambiwa ni red meat tena ni moja ya Nyama ambayo imekatazwa kutokatana na madhara yake mengi kwa afya ya binadamu...(hilo ni somo tofauti). White meat zinapatikana kwa kuku, samaki nk
Natoa tu angalizo kuwa Quran sio story book ya kusimulia watu ili wafurahie kama mashairi ya Nyimbo nk
Kile ni Kitabu KITAKATIFU hivyo ni vizuri kiheshimiwe na anaye toa hoja kwa kurefer Quran awe na Eimu ya kutosha kuhusu anachotaka kukiongelea!
tumeambiwa hivi, kama ikitokea hakuna option yeyote ya kunusuru uhai sababu ya njaa, chochote kitakachopatikana cha kusaidia kunusuru uhai wa mtu kwa kipindi hicho kinaweza kutumika kwa wakati huo pekee; LAKINI HII HAINA MAANA KUWA TUMEHALALISHIWA KULA KILA KITUNgoja nikuulize swali...
Ikatokea upo pahala mazingira ambayo ni magumu kupata chakula (hamna chakula kabisa) lkn Kuna nyama ya Nguruwe Je utabaki na njaa mpaka kufa au utakua kitowewo Cha nguruwe
Basi jobu lako mbona no sawa tu na la mzee ila shida ni ww unaleta uhasamaa ya kutaka kupinga Jambo kisa tu kalisema mzeetumeambiwa hivi, kama ikitokea hakuna option yeyote ya kunusuru uhai sababu ya njaa, chochote kitakachopatikana cha kusaidia kunusuru uhai wa mtu kwa kipindi hicho kinaweza kutumika kwa wakati huo pekee; LAKINI HII HAINA MAANA KUWA TUMEHALALISHIWA KULA KILA KITU
Hii ni sawa na dawa mbali mbali mf: C16H13ClN2O (zinaweza kuwa za kulevya - haramu) lakini zikaweza tumika kwenye matibabu flani flani; Haina maana kuwa Zimehalalishwa!
Ukisema Nguruwe unapotosha kwa sababu Quran haijasema Nguruwe; na huo ndio udhaifu wa mtu kuelezea kitu asichokuwa na Elimu ya kutosha hivyo anataja kile anachofikiri kitafurahisha washabiki wakeBasi jobu lako mbona no sawa tu na la mzee ila shida ni ww unaleta uhasamaa ya kutaka kupinga Jambo kisa tu kalisema mzee
Kuna vitu uwa havisubiri hukumu.Huna haki ya kumuukumu, Maana hakusema vibaya Bali mm ndio niliamua kuchukua au kuelewa izo kauli mbili ..
Kwanza nikuulize ww ..
Ikatokea umekwama na tonge la biriani kooni na hamna maji ila pembeni ipo chupa ya heinken Je hautakunywa heinkein ili kutanguliza tonge ?