NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 235
Peter Kalihose > TANURU LA FIKRA Nimezipata kwenye chanzo cha kuaminika: Sultan
Sayyid Jamshid bin Said yupo nyuma ya UKAWA
na baadhi ya wanachama wa UKAWA kutoka
Bara wameanza kushtukia kwamba wanatumika
kiaina na Jussa na Maalim kutimiza ndoto zao za
kumrejesha Zanzibar mwana Mfalme huyo wa Oman ambaye kwa sasa anaishi Uingereza tangu
alipotimka Zanzibar 12 Januari, 1964. Miaka ya
karibuni, wakati mchakato wa Katiba unanukia
Maalim alifanya safari kadhaa nchini Uingereza
ambapo alikutana mara kadhaa na Sultan (kwa
msaada wa wanausalama wa nchi flani) ambapo Sultan alikubaliana na Maalim kuwezesha
(kifedha na ushauri) mchakato mzima wa
kuuvunja Muungano ili kuidhoofisha Zanzibar na
kisha Oman itachukua hatamu ya kuipa kila kitu
na kupitia hapo Sultan atatua ndani ili kuendelea
kutawala na kubadirisha mifumo yote ya kiutawala na kuielekeza Zanzibar kwenye mfumo
wa Arabuni. Hiyo ni Summary ya kitu kizima
ambacho kipo hapa na na documents za kutosha
na akaunti za benki zinazoingizia pesa kwenye
benki moja ya nchi jirani kutokea kwa sultan....
Sayyid Jamshid bin Said yupo nyuma ya UKAWA
na baadhi ya wanachama wa UKAWA kutoka
Bara wameanza kushtukia kwamba wanatumika
kiaina na Jussa na Maalim kutimiza ndoto zao za
kumrejesha Zanzibar mwana Mfalme huyo wa Oman ambaye kwa sasa anaishi Uingereza tangu
alipotimka Zanzibar 12 Januari, 1964. Miaka ya
karibuni, wakati mchakato wa Katiba unanukia
Maalim alifanya safari kadhaa nchini Uingereza
ambapo alikutana mara kadhaa na Sultan (kwa
msaada wa wanausalama wa nchi flani) ambapo Sultan alikubaliana na Maalim kuwezesha
(kifedha na ushauri) mchakato mzima wa
kuuvunja Muungano ili kuidhoofisha Zanzibar na
kisha Oman itachukua hatamu ya kuipa kila kitu
na kupitia hapo Sultan atatua ndani ili kuendelea
kutawala na kubadirisha mifumo yote ya kiutawala na kuielekeza Zanzibar kwenye mfumo
wa Arabuni. Hiyo ni Summary ya kitu kizima
ambacho kipo hapa na na documents za kutosha
na akaunti za benki zinazoingizia pesa kwenye
benki moja ya nchi jirani kutokea kwa sultan....