Kumbe ndio maana wanalia…!

Kumbe ndio maana wanalia…!

hahaha cna uhakika kama tunaongea lugha moja , ntathibitisha cku ukitoa hiyo ndefu inikonge kumtima ,mtambuzi atakua shahidi kama itakonga or not.karibu lunch bt nimepewa offer

shukran kwa mtoko wa lunch, ila sidhani kama tupo tarafa moja best!
 
Bazazi unaenda mbali bana, kwani dhakari ndio thread kwa kiinglish

Kwa waswahili tu:
Dhakari = Tupu ya mbele ya mwanaume wa kiume na sio ya mtoto wa kiume wala ya mwanaume wa kike.


Bazazi!
 
Back
Top Bottom