Kumbe Nape Nnauye ni mjinga hivi

Kumbe Nape Nnauye ni mjinga hivi

KAPONGOro not only turning into comodities for sale, but to colonise us turning to zombies (misukule) !!
Our God is great, we are free from the tentacouse of mafisadi;
Chenge, Rostam Azizi, Kalamagi etc---!
 
Last edited by a moderator:
Jamani nipo kijijini, nijulisheni Taisoni - wasira yuko wapi na viburi vyake, ameingia tano bora?
 
Hadi Pinda kakatwa......!!! CCM HAWANA MAANA
Dah Pinda anaweza akawa amechukulia poa lkn watu wa katavi wanaweza kuwa wameghafirika wakakiadhibu chama kwa kura ya October,Binafsi sikutarajia Pinda akose tano bora though nilikuwa nikipredict tatu bora asingegusa,anyway ndio politics hizo ww unaujua huu wenzako wanaujua ule. ..!
 
Dah Pinda anaweza akawa amechukulia poa lkn watu wa katavi wanaweza kuwa wameghafirika wakakiadhibu chama kwa kura ya October,Binafsi sikutarajia Pinda akose tano bora though nilikuwa nikipredict tatu bora asingegusa,anyway ndio politics hizo ww unaujua huu wenzako wanaujua ule. ..!

How about Mwigulu aliyejiuzulu unaibu KM wa CCM? Kaazi kweli kweli. Hata wakati akiwa bungeni alijiipigia debe huku akiwananga wapinzani waliokuwa wamesusia bunge.
 
Back
Top Bottom