bure, kifua...taarifa ya nani hiyo? mbona chama hakijasema? kuhusu twiter ya ccm, inaweza kuwa imevamiwa na watalaamu wa uvamizi
Iko kwenye tweet page ya CCM ya asubuhi hii
Mamvi wapi hadi huruma
nadhani tusubiri na tamko la Nape
prof ana dharau sana yaani hadi basi. bado ni tetesi tu, lkn kwa membe wamechemsha. Kidogo maguuri ataweza
Ujinga hapo upo wapi? Chama kina utaratibu wa kutoa taarifa rasmi, hao waliotoa matokeo ndo wajinga.eti anaulizwa majina 5 ni yapi anasema atayataja kesho sanne, bila kujua kua kuna wajumbe mule ndani hawakuelewana, watatoa siri either wataambia ndugu zao au jamaa zao, mbona watu tumejua majina 5 toka jana tu kikao kilipomalizika basi hata hyo sanne usituambie tushajua
Imekuchukuaje muda wote huu kulitambua hili kweli!? basi kubali kuwa wewe ndiye mjinga na shukuru Mungu umejifunza leo maana wengi hawajatambua hili!
Subirini taarifa rasmi kutoka CCM. Msisadiki kila neno.
peleka matunda hotelini alikolazwa mzee wenuSubirini taarifa rasmi kutoka CCM. Msisadiki kila neno.
mmetumia mabilioni lakini mmekatwa na peni ya mia 2Subirini taarifa rasmi kutoka CCM. Msisadiki kila neno.