Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Hapo umesema .. hatimaye wakizinduka na kuanza kutumia hizo sheria itakuwa ni too late. Wataishia kwenye solutions za kihasara kama bomoabomoa, nk.Bongo kumejaa sheria nyingi ndogondogo nzuri tu amabzo zingetumika zingeondoa kama si kupunguza kwa kiasi kikubwa hitilafu zilizopo; lakini zimeachwa na zinazotekelezwa ni zile za kukimbizana na machinga na mama ntilie ama kufunga mabaa; kwa kuwa huko kuna maslahi kwa watendaji