Well am glad.
Ila haiondoi ukweli kuwa Wema naye ni binadamu ana ubongo kama mimi.
Amefanikiwa kufungua kampuni yake binafsi,
Ana vitega uchumi na miradi mingi ambayo soon ataitangaza,
Aliweza kuyashinda mazingaombwe ya Nassin aliezika kondoo mzima.
Rais wa wasafi alikosea njia sana
Huyu sio mwanamke wa kupiga
Huyu ni gagagudu.....
Yaani huyu na wale wa kona bar hana tofauti
Ndio maana Dimond alikua hana mwelekeo wa maisha kwa sababu ya huyu mtu
Right now Dimond ni mtu anayejielewa anafanya nini...kwa sababu yuko na Brainy woman
Sasa hili gagaggudu linawaza pombe na kuuza papuchi tu....
Hahahahaaa, wakati mwingine sio kila kinachofanywa na wapinzani ni kibaya, sisi tunamsapoti mama yetu bwana.
UCHUNGU WA BWANA AUJUAYE MWANAMKE!
Kwani tatizo liko wapi? Mimi hapa namsupport mama chibu katika kampeni yake ya kurudisha JIHOGO lake la JANG'OMBE wewe kimekuchoma nini?
Au wewe ndio mke wa Saleh wa sasa nini? Roho inakuuma kisa namkampenia mama kurudisha serengeti wake?
Halooooo, pole zako.Wa kwanza atabaki kuwa wa kwanza tu.
Mimi pia ni mwanamke, kwahiyo nahisi maumivu sawa na ya mama chibu, dogodogo lazima arudi ili mama apone.
And then thats just a story with no evidence
Hahahahahhahahahahahahahah...Atafungua duka South Afrika sio?
Na hata kiosk hana Tanzania?
Kweli nyie mashabiki wa gagagudu mmelogwa.
Namfahamu wema alivokuwa anakuja namchoropoa vimimba vyake
Ikumbukwe pia mama Dai alishawahi kuitwa hilo neno malaya
Let me save the history things.
Hahahahahah..Taarifa za uhakika anazo Nifah...doh...hii kali...enheee taarifa za uhakika zingine ni zipi?
Mwezi wa saba huu bado miezi miwili tu (ha ha ha utadhani nlimshikia mguu) tutajua princess wa katunzi, wa dai au wa rweyemamuIkumbukwe hata Katunzi pia alikua mpenzi wa Siri.
Wewe ni mganga wa kienyeji au tabibu?
ahahahaa!!na Wema huyo huyo akapiga simu kutaka warudiane tena kwa kubembeleza!!!aaargh mtani mi bongo sihami
Hahaaaaa huyu anko Salehe kiboko aisee hana huruma kabisa kamlambisha ndimu mama wa watu Mpaka kachoka ndimu zikamshinda na maumivu yalivozidi wakampeleka India kumwona Daktari loh! Hatari sana.
Atleast ni malaya mwenye kiwango sio kama wema jamani kina mr blue, munyama mmh cheki hata kalulu ni ka malaya lakini kako classic
Nyumba ya m400 mi ndo maana nliachaga ushabiki maandazi lolahahhahahaaaa!!vitega uchumi........
...........................no network!
miradi mingiii..............loading failed!!
kampuni yake.....................43%!
oophhhh!mama ubaya kiboko
Kaa kimya taahira wewe, usinichukulie poa maana hunijui.Huyo chibu unayemuona wa maana leo wenzio tulikua tunamdharau huku kitaa enzi hizo.
Vipi nisijue habari zake? Sio kila kitu udandie, utadandia hadi MPINI WA MOTO mwanaume.....shauri zako.
wazazi wa wema hawajatukanwa na mashabiki wa Platnumz Diamond
Wazazi wa wema walitukanwa na mashabiki wa Kajala ...pros mwenzake wema...kwa sababu wote waliiba mme wa mtu mmoja
Sasa jinsi mashabiki wa Pros maarufu east and Central Africa uwezo wenu wa kufikiri upo kiganjani...u cant think beyond the borders
ahahhahahaaaa!!vitega uchumi........
...........................no network!
miradi mingiii..............loading failed!!
kampuni yake.....................43%!
oophhhh!mama ubaya kiboko
Mkuu nina wasiwasi wewe genye huwa haziishi
Information niliyokupa inatosha
Ha ha ha slow down.....hapa hakuna mkuki wala nchaleMalaya ni malaya tuuu,
Awe mweupe au mweusi, Awe na mtoto au hana, awe mganda au mtz, awe class au shabby,awe mfupi au mrefu.
Malaya ni malaya tu.
Mkuki kwa nguruwe.
tenaaaaaaaaaa
mtu mzima hovyoooo hajiheshimu kutwa kuzunguka na dogodogo ndo maana anashindwa kumuonya ht mwanae kila siku kubadili sample
wanavyotukanwa wazazi wa wema mnona raha eeeeee
ama kweli mtenda akitendewaa...m