Hyo ndo habari ya mjini ya mama na Serengeti boy ake ama kweli wonders shall never end indeed. Huyu jimama hana issue atafta kiki nyingine ile ilikua ya white party.
Sasa naona na mama MTU wanapishana na mwanae kwenye Ku make headlines.
Kuna siku walienda zanzibar, wakapanda boti, akamwambia 'Nassib funua iyo vesti', akavuta penso ya Nassib kama anachungulia kidole mle ndani afu akasema , 'Kifesi please take a photo!'.
Kwani tatizo liko wapi? Mimi hapa namsupport mama chibu katika kampeni yake ya kurudisha JIHOGO lake la JANG'OMBE wewe kimekuchoma nini?
Au wewe ndio mke wa Saleh wa sasa nini? Roho inakuuma kisa namkampenia mama kurudisha serengeti wake?
Halooooo, pole zako.Wa kwanza atabaki kuwa wa kwanza tu.
Mimi pia ni mwanamke, kwahiyo nahisi maumivu sawa na ya mama chibu, dogodogo lazima arudi ili mama apone.
Hapo sasa, huyo wema hamtoki akilini sijui alimnyima nini.
Thread haimhusu lakini kakazana na wema, wema.
Halafu huyu mgeni sijui? Tokea lini sisi tukawa mashabiki wa wema?
Umbea una wenyewe bwana, kudandia gari kwa mbele tu.
So Wema is less of a person?
Ila Wewe una utani na viumbe wa maulana.
Cc: Mrembo by Nature, Avemaria.
Kwani tatizo liko wapi? Mimi hapa namsupport mama chibu katika kampeni yake ya kurudisha JIHOGO lake la JANG'OMBE wewe kimekuchoma nini?
Au wewe ndio mke wa Saleh wa sasa nini? Roho inakuuma kisa namkampenia mama kurudisha serengeti wake?
Halooooo, pole zako.Wa kwanza atabaki kuwa wa kwanza tu.
Mimi pia ni mwanamke, kwahiyo nahisi maumivu sawa na ya mama chibu, dogodogo lazima arudi ili mama apone.
aliekwambia ni nani? alikwepo kwenye mashavu ya k wakati huyo mwingizaji anaweka?
Basi Kama taarifa huna ndo twakupa...hakuweko tu kwenye mashavu tu.... Alisaidia pia kuisokomeza...happy??????.
mzurimie, mimi nawewe tunapitiaga wakati mgumu sana kupondwa kule kwa Mange kwa kuwa tukiwa tunatoa hoja zetu nzito nzito, misukule inapagawa sana.Sasa Katunzi mnataka ndoa yake ivunjike ili iweje, udaku huu ingekua amelala nae au kutoka nae basi mimba hiyo ingekuwa na mawiki zaidi ya hamsini sababu zile picha walipiga na dada ake Zari na shemeji na niece na Sintah siku hiyo.
Hamna kingine maneno tu kumchafua picha za wao mahaba teletele ndani ya SA zinawamaliza watu.
Mwacheni Katunzi na ndoa yake, au mnataka W amfate maana kila atajwaye kupitia Zari na w huyooooo
Mwacheni Zari na heshima zake
Hahahahaaa, sasa inabidi tuanzishe hash tag moja matata ya kurudisha dogodogo kwa mama.
Tuiiteje? Hii week isiishe hadi serengeti arudi.
Mish u pia, mi hizi habari za kurelate eti mimba na muda walokutana naona ni usengerema tu, wanaassume walipotangaza project ndo walipoanza mahusiano mmh vipi kama b ikiwa wapenzi muda tu kisiri siri....mfyuuuuuZarina alikua haoshi rungu hili, linazama lingine...miss you.
Hhaahhahahahaha...my Godness....Wema ndiye boss wenu...who doesnt know....
Mtu anaenda kuuza anakuja kuwalipa nyie
Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱
Mkuu...unajua mimi hua nashangaa saana.....hawa watu wanaoshabikia watu wa dizaini za wema....Ni shida
She is a proffesional Pros
Hhaahhahahahaha...my Godness....Wema ndiye boss wenu...who doesnt know....
Mtu anaenda kuuza anakuja kuwalipa nyie
Na zile walizotupa kwa mjomba dokta zilikua zako ha ha ha mlisema anavimbisha tumbo, mara hana mimba kashiba matoke sahivi mnasema sio ya dai akizaliwa princess mtasema sio mtoto ni mdoli pyeeeeeeeeee muishie kule zari ndo huyooooo kaokota apple chini ya mwembe ongeeni tu ndo kazi ya mdomo hiyoNyota njema hung'ara toka asubuhi.. tangu aanze kufwanya wakina kidoti isitokee wabebe mimba na akati kila mtu alitamani kubebe mimba ya domo lol.
Kweli zari kiboko kafanya yake kutembelea nyota ya domo tz mweeeeeeeeee
Hapo sasa, wengine ndio watu ila wema yeye sio mtu.
Halafu anasema wenzie kana kwamba anachokifanya yeye ndio sahihi.
Mkuu...kuna binadamu wanashangaza sana...
Acheni kijana ale mtoto mtamu wa kiganda
Mtoto Mashaaalah
Walah zari kiwango aseeeeee....nikimwona tu lazima nishtuke
Sasa wale wengine sasa
walah nikipewa demu kama huyu sipigi hata iweje
View attachment 259241
Basi Kama taarifa huna ndo twakupa...hakuweko tu kwenye mashavu tu.... Alisaidia pia kuisokomeza...happy??????.
Nyie mlikuwepo?
Waishie huko mimba sio ya dai basi ni ya kwao....Shangaa!!halafu mbaya zaidi wanapinga uhalali wa kitu ambacho hakijazaliwa na wala hawajui ilikuwaje
Ivi....vimisemo vingine haviwapendezi wanaume.
Malimao ale Zarina alogonganisha mabwana mpaka sie wambeya tumejikuta katika hali ngumu kuelewa DNA ya kujua mtoto ni wa kike ilifanyikaje fanyikaje na kwa teknolojia ipiii...dna na jinsia kaah