Kumbe marando ndo katibu mwenezi wa chadema?

Kumbe marando ndo katibu mwenezi wa chadema?

kuna jambo jipya sasa naliona chadema, inaonekana chama hakina watu wengine wenye uwezo wa kutuliza upepo na propaganda za vyama vingine kwani kila hoja ikija Marando wa kwanza kujibu.Marando ambaye ni mwanasheria anayepoteza sifa sasa hapa nchini kwa kushabikia uongo majukwaani amehamia chadema mwaka jana na sasa anajifanya anaijua sana chadema kuliko waliomo! hebu marando na wenzake watuoneshe uhakika wa mshahala wa katibu mkuu ccm walioutangaza.marando,Dr slaa na mbowe huko kanda ya ziwa alipiga kelele sana kudai mshahara wanayolipwa wabunge na viongozi ni ya kifisadi akimaanaisha milioni 6,000,000/=
Kwanini Mkama asituambie mshahara wake ni kiasi ganin kama walivyofanya chadema au yeye anayopokea siyo kodi ya watanzania..je wakikuonyesha utafanya nini, kipindi cha kampeni CCM walitumia magari ya serikali docs ziliwekwa zilitolewa...ulifanya nini....
 
Eti kwanini unadhani anapoteza umaarufu? na uongo uko wapi? ebu tafadhali niambie kaongea uongo gani?
 
Huyu Marando si ndo walikivuruga nncra na Mrema wake, ama sio huyu?
 
Umeambiwa cdm amna vyeo wanapeana kazi sasa we unafikiri marando anatoka nyumbani kwake na kuita press !!? Pata kifungua kinywa then ndo uje kuanzisha thread sio unakuja na pumba zako hapa.
 
katibu mwenezi ndio nini?
hayo ni mambo ya ccm,huku hakuna katibu mwenezi (ajira za kipuuzi)
katibu mwenezi?unataka kufananisha chadema na sisiemu?
Watu waliokua kwa kujifunika bendera ya chama wanadhani cheo cha katibu mwenezi kiko kwenye katiba ya tanzania kwamba kila chama lazima kiwe nacho.
 
kuna jambo jipya sasa naliona chadema, inaonekana chama hakina watu wengine wenye uwezo wa kutuliza upepo na propaganda za vyama vingine kwani kila hoja ikija Marando wa kwanza kujibu.Marando ambaye ni mwanasheria anayepoteza sifa sasa hapa nchini kwa kushabikia uongo majukwaani amehamia chadema mwaka jana na sasa anajifanya anaijua sana chadema kuliko waliomo! hebu marando na wenzake watuoneshe uhakika wa mshahala wa katibu mkuu ccm walioutangaza.marando,Dr slaa na mbowe huko kanda ya ziwa alipiga kelele sana kudai mshahara wanayolipwa wabunge na viongozi ni ya kifisadi akimaanaisha milioni 6,000,000/=

Bado hujaeleweka lengo, maana na muktadha wa hii aya yako uliyotuma leo......
 
Huyu Marando si ndo walikivuruga nncra na Mrema wake, ama sio huyu?

Nimeangalia kwenye website ya Msajili wa vyama ( Registrar of Political Parties) hakuna chama cha namna hii nncra moja kwa moja wewe ni mbeya wa kiume
 
Ungenyamaza kila mtu angeamini una akili, ona sasa
 
Kanyasu mbona unaonekana hata lugha ni tatizo kwako? Badala ya "dhani" unaweka "zani" una elimu gani?? Kwa kumbukumbu zangu hata mwanafunzi wa darasa la tatu anajua kuandika kiswahili fasaha...natilia shaka uelewa wako,
Ushauri - kabla hujaingia kujadili mabo makubwa kama siasa kwenye hadhira kama hii, jifunze kwanza lugha ili ueleweke na watu wakuchukulie serious zaidi. Just an advice
 
you shut up ur bakuli! kama unazani kukuunga mkono ni lazima kukubali kila jambo wewe ni mshamba!

We Costa Kanyasu vp wewe..... mbona unaonyesha ujinga na umbumbumbu wako hadharani!? hayo ni madhara ya bangi za kuchangia na wavuvi tuliza mzuka uone mambo kijana, CDM ndo inakuja hivyo umekosa ubunge last election ndo basi tena 2015 CDM tunachukua geita!!
 
"nazani" ndio kiswahili cha wapi?? kama hujui lugha usiandike andike hapa.........
 
Huyu Marando si ndo walikivuruga nncra na Mrema wake, ama sio huyu?

Marando ni shushu mwandamizi, aliibomoa NCCR, wakili wa Jeetu Patel katika kesi ya EPA.

Mwenye akili atakugundua nini anakifanya!

Pia Professa Safari ni shushu mwandamizi, KAZI KWELI KWELI, isije kuwa CDM wamedandia gari wasilolijua linaelekea wapi???? TIME WILL TELL
 
kuna jambo jipya sasa naliona chadema, inaonekana chama hakina watu wengine wenye uwezo wa kutuliza upepo na propaganda za vyama vingine kwani kila hoja ikija Marando wa kwanza kujibu.Marando ambaye ni mwanasheria anayepoteza sifa sasa hapa nchini kwa kushabikia uongo majukwaani amehamia chadema mwaka jana na sasa anajifanya anaijua sana chadema kuliko waliomo! hebu marando na wenzake watuoneshe uhakika wa mshahala wa katibu mkuu ccm walioutangaza.marando,Dr slaa na mbowe huko kanda ya ziwa alipiga kelele sana kudai mshahara wanayolipwa wabunge na viongozi ni ya kifisadi akimaanaisha milioni 6,000,000/=

million million sita
haka kajamaa hakajui kanaongelea nini.
 
Marando ni shushu mwandamizi, aliibomoa NCCR, wakili wa Jeetu Patel katika kesi ya EPA.

Mwenye akili atakugundua nini anakifanya!

Pia Professa Safari ni shushu mwandamizi, KAZI KWELI KWELI, isije kuwa CDM wamedandia gari wasilolijua linaelekea wapi???? TIME WILL TELL
Eti shushu, hawa 'shushu' ndio tunawataka, wewe una ruhusa kujiunga na chama kisicho na mashushushu jaribu PONA labda.
 
Kumbukeni kuwa nia ya watz makini ni kujenga tanzania mpya isiyo na ufisadi na siyo leo ambayao hata wanaohubiri maendeleo hawajui kwanini tuko masikini!!!
Sasa kama mawazo ya namna hii ya kueneza majungu kupitia siasa uchwara za akina Nape , wakijifanya wataalamu wa propaganda, tutasonga mbele kweli? Wanasiasa wanajilipa mihela mingi sana alafu wanaitumia kununulia kura kwenye uchaguzi mwishowe tunapata viongozi wabovu ambao wanatumia kudi zetu kufundishwa kazi heti semina elekezi lakini bado hawaelewi,

HII NCHI INABIDI VIJANA TUUNGANE KU - FORMAT UONGOZI WA TZ, SYSTEM YA UONGOZI YOTE TUIONDOE, NAMHURUMIA NAPE MAANA AMEZAMA KWENYE UONGOZI UNAOISHA WAKATI WAKE YEYE AKIWA MDOGO JAMANI TUMBO!
 
kama unazani nimekurupuka hujaelewa nilichoandika. nazani wewe ndo unakurupuka kujibu bila kusoma na kuelewa.
CCM wanatapatapa sana kwa kuwa ni chama mfu na wewe unaonekana umetumwa na mafisadi ili kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Nape ni debe tupu ambalo haliachi kuvuma. Je anaposema CDM ni chama cha wachagga anataka kuwaambia nini wachagga waliopo ccm? Yaani waondoke na wajiunge na cdm. Nape ameishiwa hoja ndo maana anasema hovyo. Nataka nimwambie kuwa chama chao kimeshachafuka na hakina mvuto tena kwa Watanzania. Kwa hiyo hakuna mtanzania atakayesikiliza proganda za ccm. CCM nchi imewashinda kwa nini hamtaki kukubali?
 
Marando ni shushu mwandamizi, aliibomoa NCCR, wakili wa Jeetu Patel katika kesi ya EPA.

Mwenye akili atakugundua nini anakifanya!

Pia Professa Safari ni shushu mwandamizi, KAZI KWELI KWELI, isije kuwa CDM wamedandia gari wasilolijua linaelekea wapi???? TIME WILL TELL

Shida yako nini? CCM ingeleta graduate JF kujibu hoja sasa wewe ni kituko
 
Back
Top Bottom