commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Ni kwa maneno na kauli yake mwenyewe Lissu!,kupitia mahojiano na na Clouds360.
Kwamba masaa mawili kabla ya shambulio lake huko Dodoma,amemtuhumu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano. Marehemu John Pombe Magufuli (R.I.P). kwa kusema kwamba alitamka kwenye hotuba yake.
"Wasaliti Wa Nchi Yetu, Wanafaa kupigwa Risasi,Askari Wanajua Huwa Tunafanyaje"...Lissu.
Sasa kama Lissu anadai, Magufuli alikuwa akiongelea kuhusu "wasaliti". Iweje yeye Lissu ahusishe kauli ya Usaliti na Shambulio lake?
Je, ni kweli sasa, kupitia kauli yake Lissu mwenyewe, kwamba anakubali yeye ni msaliti katika nchi hii?
Pili: Lissu mpaka leo ameendelea kumficha, Shahidi namba moja kwenye lile shambulio!
Dereva wa Lissu amefichwa mpaka leo,na Lissu anapozunguka kote,hakuna kipengele hata kimoja anapozungumzia kuhusu kutoweka kwa dereva wake,na mahali alipo mpaka sasa!
Tuunganishe "Dots" tusipelekane wote kama misukule!
Hatupendi watu kushambuliwa nchi hii,na wala haikuanzia utawala wa awamu ya Tano tu.
Hata Awamu ya nne,kina Dokta Ulimboka walishambuliwa na kutupwa huko Mabwepande.
Kuna waandishi wa habari kama Saed Kubenea walimwagiwa tindikali usoni.
Kuna yule Mhariri na mwandishi Mwingine nguli mpaka leo hana jicho moja.
Kuna kiongozi wa UPDP , Peter Mziray(R.I.P).
Aliuliwa nyumbani kwake jijini Dar es salaam.
Hiyo yote ilikuwa awamu ya Nne.lakini hayo hayasemwi,badala yake limezuka genge linalopigana na kaburi la Magufuli 24×7!
Ni kwa faida ya nani?
Kwa malipo gani?
Kwa malengo gani?
Hata Magufuli,aliwahi kulishwa sumu na akaponea chupuchupu huko awali.
Je! LISSU!
Alojihisi vipi kwamba yeye ndie msaliti alietajwa?
Ni usaliti gani aliokuwa akiufanya kisirisiri?
Kwamba masaa mawili kabla ya shambulio lake huko Dodoma,amemtuhumu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano. Marehemu John Pombe Magufuli (R.I.P). kwa kusema kwamba alitamka kwenye hotuba yake.
"Wasaliti Wa Nchi Yetu, Wanafaa kupigwa Risasi,Askari Wanajua Huwa Tunafanyaje"...Lissu.
Sasa kama Lissu anadai, Magufuli alikuwa akiongelea kuhusu "wasaliti". Iweje yeye Lissu ahusishe kauli ya Usaliti na Shambulio lake?
Je, ni kweli sasa, kupitia kauli yake Lissu mwenyewe, kwamba anakubali yeye ni msaliti katika nchi hii?
Pili: Lissu mpaka leo ameendelea kumficha, Shahidi namba moja kwenye lile shambulio!
Dereva wa Lissu amefichwa mpaka leo,na Lissu anapozunguka kote,hakuna kipengele hata kimoja anapozungumzia kuhusu kutoweka kwa dereva wake,na mahali alipo mpaka sasa!
Tuunganishe "Dots" tusipelekane wote kama misukule!
Hatupendi watu kushambuliwa nchi hii,na wala haikuanzia utawala wa awamu ya Tano tu.
Hata Awamu ya nne,kina Dokta Ulimboka walishambuliwa na kutupwa huko Mabwepande.
Kuna waandishi wa habari kama Saed Kubenea walimwagiwa tindikali usoni.
Kuna yule Mhariri na mwandishi Mwingine nguli mpaka leo hana jicho moja.
Kuna kiongozi wa UPDP , Peter Mziray(R.I.P).
Aliuliwa nyumbani kwake jijini Dar es salaam.
Hiyo yote ilikuwa awamu ya Nne.lakini hayo hayasemwi,badala yake limezuka genge linalopigana na kaburi la Magufuli 24×7!
Ni kwa faida ya nani?
Kwa malipo gani?
Kwa malengo gani?
Hata Magufuli,aliwahi kulishwa sumu na akaponea chupuchupu huko awali.
Je! LISSU!
Alojihisi vipi kwamba yeye ndie msaliti alietajwa?
Ni usaliti gani aliokuwa akiufanya kisirisiri?