Robinhomtoto
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 238
- 244
Leo katika mahojiano redioni nimemsikia Mtangazaji wa Clouds FM akihojiana Na Maafisa Ardhi Kutoka Wizara ya Ardhi.Moja ya maswali waliyoulizwa ni Juu ya Kodi ya Ardhi.
Maafisa hao wamesema kodi ya Ardhi hutozwa kwenye Eneo/Shamba/kiwanja kichopimwa Na kumilikishwa.
Wadau mtakumbuka Waziri wa Ardhi aliwahi kutamka kuwa maeneo yote yaliyopimwa au la yatatozwa kodi ya Ardhi mjadala ambao bado unaleta maswali kadhaa ikiwa pamoja Na kujua hicho Kiwango cha Kodi kitajulikana vipi kama hakuna upimaji.
Maafisa hao wamesema kodi ya Ardhi hutozwa kwenye Eneo/Shamba/kiwanja kichopimwa Na kumilikishwa.
Wadau mtakumbuka Waziri wa Ardhi aliwahi kutamka kuwa maeneo yote yaliyopimwa au la yatatozwa kodi ya Ardhi mjadala ambao bado unaleta maswali kadhaa ikiwa pamoja Na kujua hicho Kiwango cha Kodi kitajulikana vipi kama hakuna upimaji.