- Thread starter
- #61
lara 1 acha kabisa watu hawafai as far as Dar is concerned, yaani kuna jamaa aliuziwa nyumba ya mtu hapa mjini, akapewa hati ya kumiliki na kila kitu, hata yule ambaye nyumba yake iliuzwa hakujua, alikuja kushtuka baadaye watu wanakuja hapo kwake na kuanza kupigapiga rangi!
Approach nzuri ya kumkamata mtu, kwanza ni kumsoma haraka haraka uwezo wake wa kufikiria na kufanya maamuzi hata kama humjui; love, attraction, psychology na kumjengea mazingira ya good future vinahusika sana! Mara nyingi katika mazingira kama hayo wanawake wengi wanakuwa "baffled" so kuingia kingi ni nje nje.
Kuna jamaa mmoja alimpata binti, wakaanza mawasiliano, baada ya siku kadhaa binti akamwambia jamaa nataka kwenda mkoani, jamaa akamwambia kwa usafiri gani? Binti, kwa basi. Jamaa, what? Kama vile hajui watz tunasafiri kwa basi hata kwa miguu sometimes! Akamwambia achana na basi mambo ya miaka ya 47! Nipe account nikutumie pesa ukakate tiketi ya ndege! Binti, kweli? Jamaa akasisitiza ndio. Mara oh, sijui sina account nitumie kwa Mpesa! Jamaa, mambo ya mpesa mie siyajui, pls tukutane sehemu nikupe hela! Mkwara mzito, jamaa kukutana na binti, akampa midolari, binti return tiketi ikamhusu. Jamaa yeye anajiambia moyoni kafara kama hizi kwa watu kama hawa zinahusika, baadaye mbele ya safari tutajuana.
Unaona binti wa watu alivyopelekwa puta, ndege hajawahi kupanda anauliza atakataje tiketi, sasa kwa nini asimpigie jamaa makofi, full salute na respect!
Approach nzuri ya kumkamata mtu, kwanza ni kumsoma haraka haraka uwezo wake wa kufikiria na kufanya maamuzi hata kama humjui; love, attraction, psychology na kumjengea mazingira ya good future vinahusika sana! Mara nyingi katika mazingira kama hayo wanawake wengi wanakuwa "baffled" so kuingia kingi ni nje nje.
Kuna jamaa mmoja alimpata binti, wakaanza mawasiliano, baada ya siku kadhaa binti akamwambia jamaa nataka kwenda mkoani, jamaa akamwambia kwa usafiri gani? Binti, kwa basi. Jamaa, what? Kama vile hajui watz tunasafiri kwa basi hata kwa miguu sometimes! Akamwambia achana na basi mambo ya miaka ya 47! Nipe account nikutumie pesa ukakate tiketi ya ndege! Binti, kweli? Jamaa akasisitiza ndio. Mara oh, sijui sina account nitumie kwa Mpesa! Jamaa, mambo ya mpesa mie siyajui, pls tukutane sehemu nikupe hela! Mkwara mzito, jamaa kukutana na binti, akampa midolari, binti return tiketi ikamhusu. Jamaa yeye anajiambia moyoni kafara kama hizi kwa watu kama hawa zinahusika, baadaye mbele ya safari tutajuana.
Unaona binti wa watu alivyopelekwa puta, ndege hajawahi kupanda anauliza atakataje tiketi, sasa kwa nini asimpigie jamaa makofi, full salute na respect!