babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Hii nimekutana nayo kwenye chambuzi za gazeti moja.
Kwa jinsi ccm inavyokosa mvuto ndivyo na huyu bwana anavyochanganyikiwa.
Tazama kauli zake za hivi karibuni
Alisema atavifuta vyama vyote visivyofanya chaguzi za ndani, mikutano ya hadhara nakutafuta wanachama wapya sanjari na kufungua matawi si kusubiri mpaka wakati wa uchaguzi mkuu tu.
Sasa huyu tendwa anaibuka na kutishia kufuta vyama vinavyofanya mikutano wakati hakuna chaguzi kwani vinahatarisha amani huku akikiacha ccm kikifanya mikutano yake kwa bashasha kubwa bila kukemea chochote.
Huyu bwana ilidaiwa anasajili baadhi ya vyama ili kuua vyama makini sijui hiyo ndiyo kazi aliyonayo ama vp. Kwa nini asijitahidi kujenga uwanja sawa wa demokrasia kwa vyama vyote na pia mazingira mazuri kwa polisi ili wasitumie nguvu na mbinu za ajabu ili kuzima vyama makini visiweze kujitanua hadi vijijini.
Ameidhalilisha sana ofisi yake mpaka
Kwa jinsi ccm inavyokosa mvuto ndivyo na huyu bwana anavyochanganyikiwa.
Tazama kauli zake za hivi karibuni
Alisema atavifuta vyama vyote visivyofanya chaguzi za ndani, mikutano ya hadhara nakutafuta wanachama wapya sanjari na kufungua matawi si kusubiri mpaka wakati wa uchaguzi mkuu tu.
Sasa huyu tendwa anaibuka na kutishia kufuta vyama vinavyofanya mikutano wakati hakuna chaguzi kwani vinahatarisha amani huku akikiacha ccm kikifanya mikutano yake kwa bashasha kubwa bila kukemea chochote.
Huyu bwana ilidaiwa anasajili baadhi ya vyama ili kuua vyama makini sijui hiyo ndiyo kazi aliyonayo ama vp. Kwa nini asijitahidi kujenga uwanja sawa wa demokrasia kwa vyama vyote na pia mazingira mazuri kwa polisi ili wasitumie nguvu na mbinu za ajabu ili kuzima vyama makini visiweze kujitanua hadi vijijini.
Ameidhalilisha sana ofisi yake mpaka