Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Pengine ni muda sahihi kuongeza nguvu au kufanya mabadiliko kidogo ndani ya CCM hasa kwenye umoja wa Vijana, Umoja wa vijana waingie Mtaani, wajenge hoja, wajibu hoja za vyama pinzani/rafiki, wawambie ukweli Watanzania namna Serikali ya Awamu ya Sita inavyotekeleza miradi ya maendeleo. Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alisharuhusu mikutano ya siasa kwa vyama vyote.
Kitengo/Idara cha Mawasiliano cha Chama kiongeze ubunifu, nguvu, maarifa, jitihahada ili kuweza kuwafikia watu, Mawaziri na viongozi wengine wafanye ngazi zao za kuwaletea maendeleo Watanzania na kutatua kero za Wananchi, hoja za kweli au propaganda za uongo na uzushi zinazoibuliwa na vyama pinzani, Umoja Vijana CCM sasa mvae buti muingie kuwajibu hawa watu. Mikutano imeruhusiwa kwa vyama vyote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kitengo/Idara cha Mawasiliano cha Chama kiongeze ubunifu, nguvu, maarifa, jitihahada ili kuweza kuwafikia watu, Mawaziri na viongozi wengine wafanye ngazi zao za kuwaletea maendeleo Watanzania na kutatua kero za Wananchi, hoja za kweli au propaganda za uongo na uzushi zinazoibuliwa na vyama pinzani, Umoja Vijana CCM sasa mvae buti muingie kuwajibu hawa watu. Mikutano imeruhusiwa kwa vyama vyote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan