Chumvi yao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,578
- 5,544
Niaje niaje.............irani huko Amezika majenerali na wanasayansi zaidi ya 60..........kwenye vita vya siku 12 tu..........hakika huu ni ushindi kwa bibi netanyahu kwenda kwa Israel bila kikomo.........wale wa Iran wa bonyokwa ,kipanda uso,jambiani kaburi moja ,itigi na mwana kelekwe karibuni kwa povu.........netanyahu hataki mchezo na kima maana alikuwa anapiga watu na sehemu muhimu wakati wenzanke wanafurahia kubomoa majumba ya raia..........kwa pigo hili inaonyesha Israel alijipanga barabara maana sio kwa vifo hivyo.........