Kumbe huu utapeli bado upo?

Kumbe huu utapeli bado upo?

Kuna siku niko kituo cha mwendokasi asubuhi tunasubir gar mara akaja Mama mmoja anaanza michongo ya ooh nna madini nauliza wap ntapata mnunuz mzur, Nikajibu to kistaarabu mie sifaham kwa kwel

Mara akaja mshkaj pemben yangu Ooh mim napajua kama vp tumpeleke nkamwambia kama unapafaham we nenda nae tu.

Yule mama akaanza unaonekana mwaminifu naomba twende wote tu kwa usalama maana mie mgeni hapa mjini

Nikawaangalia wote nkawajibu tu huo Utapeli wenu ntawapelka kwa yule askari pale msinizoee.
Dakika mbili nying naona hao wanaondoka na hawakupanda tena mwendokas wakatokomea nje huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku niko kituo cha mwendokasi asubuhi tunasubir gar mara akaja Mama mmoja anaanza michongo ya ooh nna madini nauliza wap ntapata mnunuz mzur, Nikajibu to kistaarabu mie sifaham kwa kwel

Mara akaja mshkaj pemben yangu Ooh mim napajua kama vp tumpeleke nkamwambia kama unapafaham we nenda nae tu.

Yule mama akaanza unaonekana mwaminifu naomba twende wote tu kwa usalama maana mie mgeni hapa mjini

Nikawaangalia wote nkawajibu tu huo Utapeli wenu ntawapelka kwa yule askari pale msinizoee.
Dakika mbili nying naona hao wanaondoka na hawakupanda tena mwendokas wakatokomea nje huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀 😀 😀 😀
Ulifanya vema mkuu. Tapeli usimpe nafasi ya kumsikiliza.
 
Hii ni kama ajali kama ukiwaamin hao watu, mwez wa tatu nilikuja Dar kwa ajili ya kuchukua usafir beforward nikasema nilale lodge moja pale ubungo maziwa asubuhi jmos nikawa nataka nikalipie handling pamoja na wharfage, nikaenda pale ubungo plaza kutafuta CRDB pale ndani, ilikua mapema sana kwenye saa tatu kasoro nimeingia natafuta kumbe mle ndani haipo nikatafuta wakumuuliza nikamuona mlinzi nikaenda kumuuliza akasema hapa haipo hadi pale shekilango.
Nikaondoka mdogo mdogo kumbe kuna mtu alisikia sijui aliambiwa na yule mlinz maana ile natoka tu akaja mzee kama miaka 60 hiv ananiambia nimeambiwa hapa haipo hadi kule shekilango si unaenda basi twende me sipajui nikawaza nimjibu au nimwache, nikamwitikia kwa kichwa nikajisemea leo kama ni tapeli nakufa nae.
Nikafikiria jins ya kumkwepa kwanza, nikavuka barabara upande ule wa urafiki nikawa naenda taratibu nikageuka ghafla namkuta nyuma yangu nikasema leo simba lazima ale nyanya kama ni mchezo hapa moja moja nikasimama ghafla akapita nikaanza mfuata nyuma na yeye , akawa anaongeza speed huku anaongea na sim nami naongeza ananiangalia kwa jicho la pemben mbelen kuna mwenzake aliekua anaongea nae akafika pale akasimama nae nami nikawapita nikaenda kusimama mbele yao nikawa nafanya kama naongea na simu maajabu sasa ile nimegeuka hiv sikumwona hata mmoja na pale hakukua na boda kwamba wamepanda au kama kuna sehem wamejificha nikajisemea Mungu yu pamoja nao, nikaita zangu UBER nikaenda MCity.
 
Dogo katapeliwa kimasihara...
Atakuwa mwenyewe dogo, alitegemea angepata chochote kitu tokea kwa mzee...

Everyday is Saturday................... 😎
 
Hakuna dawa wanayotumia ni ukilaza wa anayetapeliwa. Hivi hadi leo mtu unaishi hujawahi kukutana na story kama hizi? Ndio maana hawamfuati kila mtu wanakuangalia kwanza wakiona umekaa kama wakuja ndio wanakufuata. Na ndio maana wamefanikiwa kwa huyo kijana wako.
Mwambie aende kwa mganga kuwaloga(huko nako anaenda kupigwa tena)

Halafu hizi story nyingine sio za kusimulia ukiibiwa kizembe kaa tu kimya
Sawa mkuu. Si watu wote wanaelewa haya mambo. Kama wewe uko vizuri fresh tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ulishanikuta moshi maeneo ya mjini pale, mwanzoni niliwaona wema ila baada ya wao kuanza kupiga story za nyota nilipatwa na wasiwasi nikajeuka, nilivyokua narudi tu nakukatana na mama anakuja nyuma yangu akaniuliza hawajakutapeli ? Kumbe mama yule anawafahamu na akajua hawatoniacha salama, yule mama alikua ameita polisi kabisa, wakati narudi stand niliwaona wanaingizwa pale central wakiwa wamepigwa bangili za polisi, siku hiyo ilikua jumapili na nna elfu 30 mfukoni, na home niliaga naenda kanisani mi nikaenda town nikanunue simu used pale stand ya moshi chini ya mwembe!!! Nilichogundua hawa watu hawatumii dawa ila wamejipanga tu neno juu ya neno hawakuachii ufikirie, mimi nilikua form two ila mpaka leo hata kama uwe vipi siwezi kukupa direction kwa kwenda nawewe labda uwe mdada murembo sana !!

Sent using Jamii Forums mobile app
ulipona chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna dawa wanayotumia ni ukilaza wa anayetapeliwa. Hivi hadi leo mtu unaishi hujawahi kukutana na story kama hizi? Ndio maana hawamfuati kila mtu wanakuangalia kwanza wakiona umekaa kama wakuja ndio wanakufuata. Na ndio maana wamefanikiwa kwa huyo kijana wako.
Mwambie aende kwa mganga kuwaloga(huko nako anaenda kupigwa tena)

Halafu hizi story nyingine sio za kusimulia ukiibiwa kizembe kaa tu kimya
Braza hawa jamaa dawa yao ni kutowapa muda kuwasikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom