Dah basi bwana jana usiku nikaamka nikaenda zangu uani kupunguza maji, nilivyorudi kulala usingizi ukachelewa kunijia nikachukua simu nikawa naangalia kitu cha kupotezea muda wakati nauskilizia usingizi kwa mara nyingine ndo nikajikuta nimeangukia jf.
Kitu kilichonishangaza ni idadi ya users waliokuwa online muda ule 531 nikacheki time ilikuwa kama saa nane kasoro usiku.
Nikajiuliza hawa ni walinzi walio lindo shift ya usiku au ni watu walio nje ya nchi ambao masaa yametofautiana na huku kwetu.
Ila anyway hata mimi naipenda jf na kila siku lazima niingie humu ingawa siyo night kali kama kina nanii
Kitu kilichonishangaza ni idadi ya users waliokuwa online muda ule 531 nikacheki time ilikuwa kama saa nane kasoro usiku.
Nikajiuliza hawa ni walinzi walio lindo shift ya usiku au ni watu walio nje ya nchi ambao masaa yametofautiana na huku kwetu.
Ila anyway hata mimi naipenda jf na kila siku lazima niingie humu ingawa siyo night kali kama kina nanii