Kumbe hua iko hivi.

Kumbe hua iko hivi.

Kwa kawaida sipendi attention kwa mtu wangu
Nachukia ukiniambia

Nataka tuongee

Nikuambie kitu

Maana yake hujanichukulia kama mpz wako kwa kuwa huo usemi unaonyesha hauko huru Kwangu unawoga , naichukulia pia kunihamisha ktk Furaha yangu ya michezo ya mahaba

Teh
 
Ifikie mahala hii statement iwe termed kama uchochezi maana ina madhara makubwa sn
 
Back
Top Bottom