Serikali ya Ethiopia imeshutumiwa
kwa kufunga tovuti ili kudhibiti
mienendo ya matumizi ya mitandao ya kijamii.
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International linasema
limepata ushahidi kuwa mitandao
maarufu ya kijamii na progamu
tumishi kama Facebook au WhatsApp ilifungwa kwa wiki kadhaa wakati wa maandamano ya kupinga serikali.
Mamlaka nchini Ethiopia zinasema wanataka kuwazuia mabloga wasichochee ghasia na fujo.
Intaneti sasa imejerea lakini baadhi ya huduma bado haziwezekani kwani
kasi ni ndogo sana..
My take..
[HASHTAG]#Freemaxencelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Justiceforlema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Bringbackourben[/HASHTAG]
kwa kufunga tovuti ili kudhibiti
mienendo ya matumizi ya mitandao ya kijamii.
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International linasema
limepata ushahidi kuwa mitandao
maarufu ya kijamii na progamu
tumishi kama Facebook au WhatsApp ilifungwa kwa wiki kadhaa wakati wa maandamano ya kupinga serikali.
Mamlaka nchini Ethiopia zinasema wanataka kuwazuia mabloga wasichochee ghasia na fujo.
Intaneti sasa imejerea lakini baadhi ya huduma bado haziwezekani kwani
kasi ni ndogo sana..
My take..
[HASHTAG]#Freemaxencelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Justiceforlema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Bringbackourben[/HASHTAG]