Kumbe hii serikali si ya wanyonge tena

Luther760

JF-Expert Member
Feb 17, 2019
316
240
Nimeshangaa sana kuona bei za magari huko kwa mabeberu ni very cheap, kwa mfano gari kama Subaru, Kluger, Jeep na zingine bei poa sana mpaka zinafika bongo.

Shida ipo kwenye tax evaluation. Gari ya million tatu kodi million saba kweli jamani! Mnataka tufe bila kutimiza dreams za kuwa usafiri wa maana.

Acheni hizo leo mmenikera sana. Huyu Rais wa wanyonge kwanini hajaliangalia hili.

Hivi tunaishi kama tupo kuzimu itawezekanaje kodi izidi hela uliyonunua?

Hii sio sawa kabisa.
 
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari
 
Nimeshangaa sana mpaka hasira tunaishi kama wanyama
Bandari TRA ni kikwazo kwa mnyonge,gari ya dola 1500 utalipa.
Dola 4500 jumla 6000. Mpaka unaliendesha.Tatizo serikali imeshindwa kumudu kabisa vyanzo vya kodi kenya nafuu sana na inajulikana kabla hujaagiza gari
 
Kuna Lile li sera la kukuza biashara ya ndani hiyo ndo uchawi wenyewe linalokuza kodi kuwa kubwa namna hiyo,hukuona hata bashite vitu vyake vilikwama pale bandarini unafikiri mchezo.. hapo hata msimlalamikie jiwe nae mengine kayakuta tu.
 
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari
Hata baskeli hazijawahi milikiwa na watu wote itakua ndinga mzee?
 
Serikali inatakiwa iangalie hilo suala kwa umakini Sana..Kodi ni kero
 
Fact
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari
 
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari

Tengenezeni barabara pana acheni kuwaza upuuzi, nchi zingine familia ya watu wa 3 magari wanayo manne, huku familia ya watu 9 gari moja hehehe!

Gari ni chombo cha usafiri tu, Jinamizi la umasikini nchi hii ndilo linalosababisha muone gari ni anasa. Hovyo!
 
Hata baskeli hazijawahi milikiwa na watu wote itakua ndinga mzee?
Kwa hiyo unataka ndoto zangu zife au maana ninataka kumiliki jeep ila tax evaluation ni m.50 wakati Japan inauzwa m.8tu huu ni uonevu wa Hali ya juu kabisa sijawahi kuona
 
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari
Wewe ndio walewale ambao huimba (chukua vyote, niachie Yesu) wakati Yesu mwenyewe alisema yeye ni yote katika vyote (ukiniambia nichukue vyote na nikafanya hivyo, inamaana Yesu hayupo nawe tena kwakuwa ni miongoni mwa vyote) Hv huko ulaya ambako magari ni sawa na bure tena 0km hakuna usafiri wa umma?
 
Wote wakimiliki magari unafikiri daladala atapanda Nani?? Ndo maana wanaweka mashart magumu ili wamiliki wawe wachache ili na wengine wapate rizki.... Halaf kila mtu akiwa na gari tutatembeaje si atakuwa foleni tuuu husogei mbele maana kila mtu ana gari

Akili za kitanzania ndio hizi.
 
Hili suala Serikali sikivu inapaswa iliangalie kwa kweli,malalamiko yamekuwa ni mengi sana na hakuna utatuzi wowote wa changamoto hiyo.

Mwaka 2014 niliagizia kababy walker changu,kwa Tshs.2,532,000 hadi kufika Bandarini.

Kuja hadi kuigomboa nilitoa jumla ya Tshs.6,700,000,tofauti ya 4,168,000,huu ni zaidi ya wizi na serikali imekaa kimiya tu huku raia wake tukinyonywa na serikali yenyewe
 
Back
Top Bottom