zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
I meant demu hii ya Kiswahili
I meant demu hii ya Kiswahili
Kama imetoholewa sawa Ila baada ya kutoholewa that means maana yake imebadilika na matumizi yake hayaendani na maana yakeDemu ya kiswahili imetokana na hilo neno la kingereza
POLICE = POLISII meant demu hii ya Kiswahili
Yeah Ila rejea kwenye maana ya demu ya kiswahili na dame ya kiingereza utaona utofautiPOLICE = POLISI
Chakufanya watafute neno jengine lipewe hiyo nafasi ya matambara chakavu demu iwe msichana tu.. wasitulazimishe maneno yao
Ndio jamaa amesema demu tunalotumia kuwarefer wanawake limetokana na neno Dame la kiingereza. So hilo la kwenye kamusi ya kiswahili ni neno lingineYeah Ila rejea kwenye maana ya demu ya kiswahili na dame ya kiingereza utaona utofauti
Sasa huyo bado ni kijana, hao wajukuu kawatoa wapi?Kaa kutulia ulee wajukuu
Nadhani neno la kiswahili demu limetoholewa kutoka neno la kingereza Dame lenye maana sawa na lady au mke au mjane wa mjeshi.Ingawaji mimi sio msomaji sana wa kamusi ila leo matumizi ya neno "demu"mtaani yamenisukuma kuangalia maana ya neno demu kwenye kamusi.
Nimekuwa nikisikia mara nyingi wanaume/wavulana wakutumia neno "Demu"kama jina la kuwaita wasichana ama mabinti. Taswira iliyonijia ni kwamba neno "Demu"lingekuwa na maana halisi ya msichana au binti mrembo ila haikuwa hivyo
Baada ya kuangalia kwenye kamusi. Maana niliyokutana nayo ni hii
1. Demu ni kitambaa kilichochanika/kupasuka.
3. Demu nguo iliyochakaa iliyokuwa ikitumika kifunika matiti au kufunga kiunoni wakati wa kilimo.
Neno hili limekuwa likitumika kinyume na maana yake na pengine watu wengi wameamini maana yake ni msichana mrembo.
Pia, kuna maneno mengine ambayo nimekutana nayo mahala flani kwenye mitandao ikiwemo JF Ila sijawahi kujua maana yake.
1. Pisi Kali
2. Papuchi
3. Ki Portable
4. Popo Bawa