Nimepitia dukuduku na maoni katika kurasa tofauti tofauti za mitandao ya kijamii nimeona watanzania wote wanaongea lugha moja. Sioni tofauti kati ya wana CCM na wapinzani, wote wanalalamika.
Wote wanalalamika kuhusu
Wote wanalalamika kuhusu
- Tozo za miamala
- Bei za mafuta
- Maisha magumu
- Hamza kuitwa gaidi