HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 273
[h=5]Jamaa kashuka kwenye gari prrrrrrr! Poorrh!.Watu wote wakamwangalia, kwa utaratibu jamaa katoa simu na kuanza kuitika hello? Watu wote wakaangua kicheko, ha ha kumbe ringtone tu? Aliyekua kando yake akatabasamu nakumuuliza 'ringtone yako ina harufu jamani?[/h]