ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,775
- 6,553
Manchester United ndiyo klabu bora kabisa duniani. Ni lazima wachukue kombe la ligi kuu na la UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
hata ligi haiwezi chukua na kuhusu uefa mkuu kule huwa inabebwa barca peke yake subirini safari yenu mtoano..