Hii ina maaana kuwa during world cup 2014 hapa nyumbani kwetu Brazil marefa wa Uingereza hawana nafasi na pia in chapion league Man u hawana chao. Ashley Young alimpiga teke beki wa Chelsea, red card ilienda kwa beki aliyepigwa teke na ile red card ya Tores inalikuwa ni ya uonevu kuliko ya kwanza