MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA.
Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.
Hilo nalo neno?! kumbe ndio maana hata Ana makinda alikuwa anasita kuahirisha kikao cha bunge akidhani CDM ndio imezamisha meli, duh they are running scared indeed!!!!